EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Angalau nimekuelewa sana wewe Mkuu.Hebu tuchambue sasa kwa mahitaji ya kijamii Kama shule hospitali Barbara na huduma ya maji ..
Kielimu moshi Ina shule nyingi Sana za sekondari na vyuo vya ufundi pamoja na vyuo vikuu
Kuhisu afya moshi in a hospitali ya mkoa pamoja na rufaa ya Kcmc poa huduma ya barabara lami mpaka vijijini kuhusu maji siongei kwan kila mtu anajibu fursa za ajira hasa kwenye utalii ni nying Sana kulinganisha na bukoba pia hata mapato ya Halmashauri ni makubwa kulinganisha na bukoba xo nimalize ubishi kwamba kulinganisha mikoa hatuangalii majengo Bali ni huduma kwan hata kwa majengo bado moshi inaiacha bukoba mbali