luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Kwahiyo hizo picha sio halisi? Hilo ni kanisa la kibosho yaan kibosho parishMkuu nianze tu kwa kukwambia kuwa hilo kanisa japo la mtandaoni bado sana kwa makanisa ha bk huko vijijini. Twambie la location ya kanisa na pia na picha ya kibao cha kanisa lenyewe. Mbona ya mwanzo umeweka!??
Ila pia nikwambie tunataka picha za kupiga na kamera yako! Mwambie mtu apige akutumie. Sio hizi za kuunga unga. Huu mchezo tukiufanya sisi mtalia. Kwa nini usilete picha original from the source kama unajiamini?? Mbona sisi tunatupia vitu vyenyewe na wewe unasuuzika!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu vingine Ni elementary havihitaji ubishi kama umebanwa mbavu unaomba poo sii kujidhalilisha hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
