instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
- Thread starter
- #541
"kama MNA viwanda vingi mbona halmashauri ya moshi inaingiza mapato mengi kuliko bukoba?"E="instanbul, post: 19067453, member: 372401"]Viwanda bk ni vingi kuliko moshi asilia water,kagera sugar,yetu chair,Mali juice,tanica,bunena water,tanica water, kyaka milk,diva mafuta nk
ingia web ya tra uone
pia mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajivunia nn[/QUOTE]
Kagera ni kubwa watu wake ukubwa unaifanye mapato ya bk yamezwe.na wilaya kama biharamulo, ngara,na kyerwa ambazo ni wilaya maskini na misenyi ambayo ni wilaya change.pia majanga kama tetemeko,na kuwa mbali na tz ndo maana ni maskin
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app