Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari
Hata Dar pachafu kuliko moshi
 
Miji yote hapo ni ovyo ukilinganisha na resouces zilizopo.Moshi kitovu cha utalii,ardhi yenye rutuba lakini haijaendelea.Bk mipaka minne,ziwa,mvua za kutosha,wasomi kibao lakini ni mkoa maskini.Acheni ligi uchwara.Tulitegemea hiyo miji kuwa sawa na mombasa ama kigali lakini porojo tu.
 
Acheni kufananisha kifo na usingizi, huo unaouita uzuri wa majeng wa Bukoba una implication gani katika uchumi wa sehemu husika?

Embu kodoa macho kwenye hizi takwimu za TRA uniambie hiyo Bukoba yako inaingia vipi kwa Kilimanjaro
klm.PNG
klm 2.PNG
klm 3.PNG
 
Bukoba ni sawa tu na Kigoma au Sumbawanga, yaani hakuna mpango. Mji huko hovyo na hauna mpangilio hata kidogo.
 
Moshi na Bukoba zinafanana sana kitabia ata na tabia za watu wao.....Moshi imejengeka vizuri kulingana na utambalale wake hivyo kuna majengo mengi na Barbara double road, Bukoba haijapangika vizuri kulingana na kua sehemu ambayo nk tambalale na ambayo ni center ni padogo mno hivyo kua imebana sana Bukoba imezungukwa kwa pande tatu ni milima tupu pande moja ni Ziwa hivyo kua ni ndogo mno.....Lakini Bukoba imeanza Ku take off kwa kua wameanza kujenga mahote makubwa pembezoni mwa Ziwa na inaeneo kubwa mno kulinganisha na Moshi....Kwa upande wa vijijini Moshi vijiji vyao vimepangwa kwa kua na Barbara za lami tofauti Ila Bukoba/Kagera kwa ujumla ni kubwa hadi imebidi serikali ivunje baadhi ya maeneo km Misenyi na Kyelwa....But all in all Bukoba na Moshi hakuna tofauti kuubwa zaidi ni jiografia ndo tofauti....Nimeishi Bukoba Na Nimeishi Moshi
 
Bukoba the worst place I've ever seen,sehemu ya kula Hamna ,mjini katikati majengo yote au by 90 percent Ni ya serikali.
Majengo ya serikali ni ya wale wahindi waliopo migeyo umefika miembeni wewe,kashura kibeta,rwamishenye,jamhuri road,kashozi road, hamugembe je nshambya mafumbo, kahororo,ihungo jee bk haufahamu kumbe kufika stend ya bukoba ni kama nyegezi na mwanza bk hauifahamu hizi hotel za serikali?
a0a14a11a196194e5556926d8c3d50f7.jpg
c6742d9222c9456d7bea5d7bbca6684e.jpg
368b8a3df6de96e6562a8ebb357a1745.jpg
2b954cf4f63b2601e8747aee6f3c6a18.jpg
3661abc3da29eb540d08eb5df9807565.jpg
958c0bec8df6a11f66dfec0ee867757e.jpg
c19f50f12c5355bd6c2e306b6acfbd84.jpg
e9114b48ae884b1e94a2d7119d43e368.jpg
90e5688c3a97ed715e94dfe13a030a9d.jpg
5970e4c91d76a126a94e17e2bab21e9d.jpg
c4a1c466549ea48fff60c8d369f83178.jpg
68853d8dd9cf71b0dd973f79becd98c3.jpg
b22e0d30220b1b605707ee6c7ec1e899.jpg
tembea uone bkb kwanza majengo hayo mengi ya zamani yalitetemeshwa sasa hivi yanajengwq mapya so ya serikali-gallery/0a6e11f12dc249274197e0cfd4f92762.jpg[/IMG]
7272b781739623d95ff6a44529d220fa.jpg
 
inabidi pia uangalie na utamaduni wa eneo husika. kule hawana utamadunu wa kula kwenye mabarabara. watu wanapenda zaidi kula chakula kilichoandaliwa nyumbani. ni aibu mtu kula kwa hotel. kwa hiyo biashara ya hotel kwa ujumla kule si nzuri
Tumeweka hotel nyingi tumia facts kwenyr kutoa hoja.majengo ya serikali mji umekuwa capital city lin
 
Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
Moshi Pa Kawaida Sana.. Msivimbe vichwa.. Hamna Cha ajabu.. Ni kama maeneo mengine tu ya bongo...
Hata mzunguko wa fedha ni wa Kawaida Sana tu.. Hata Kahama tu hamnusi kwa mzunguko wa pesa..
Na after seven years hata kahama itakuwa ipo juu kimuonekano wa kimji na majengo..
 
Nikiwa nipo bukoba napendaga hapa millennium bar maeneo ya migera watu ni wabunifu kweli
3b81162ef1fb69bcf0866f19c0378124.jpg
1b9a428dcf0da7e806d1d4418eacc213.jpg
 
Hamna kitu brother nimefika huko Na nimekaa week lodge zenyewe zinanuka uvundo.paka camp ,buyekera miembeni,government,uswahilini kote nimefika Hamna kitu!town ndo q bar Na ndo Malaya wanajiona wame fika yan utatuma Picha lakini kwa Mtu aliefika ataona Hamna kitu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom