Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
moshi ipo juu asilimia 100 piga ua garagaza kuikuta moshi kwa maendeleo ni ndoto
endeleeni kujifariji Kwanz chefuu mkoa wa kwanza wenye watumiaji wengi wa huduma za kibenki ni kilimanjaro
sasa ww mshomile tetemeko tu mmeshindwa kuchangishana seuze moshi?
viva moshi viva wachaga
MULAIRANNYE KINDO CHA UTONDO FO MANGI
 
Moshi town
1482952809783.jpg
1482952837063.jpg
1482952850482.jpg
1482952854320.jpg
1482952867010.jpg
1482952902200.jpg
 
Thread ni ya bk vs moshi ukiangalia mkoa kagera ni Mara mbili ya Kilimanjaro.na watu ni wengi.una biharamulo,ngara,karagwe.kyelwa misenyi muleba na sehemu izo si bk na wahaya sio Wa huko
kageravn mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajifananisha na KLM?
 
02a3ca8feaf4d1df3e5ae6d666bcc1be.jpg

a6aadf65be79c11dc07d8a7c0b896e48.jpg

Jango la NSSF KILIMANJARO
91e3658162e1ab0ee5bgbec505b3c0350.jpg

KILIMANJARO MOUNTAIN
2015449b69c3fbe549752ae13c49f40a.jpg

d22cef46d70860f16a1e32c824d7c9d0.jpg

4ab3ea5fd3aece98548ffe079cee60fe.jpg

Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
83d449a8b0491e731e01d6b77e68984d.jpg

f93be88cbd7c874086495ed3d43f3dea.jpg

4f465aaadb9b701f8a957005a88698a1.jpg

Katikati ya manispaa
ee2b51ccee04fad8f677b7c64e979a33.jpg

Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Hiyo picha baada ya round about ya KCMC siyo Moshi ni Iringa.
 
Nkindo kuna sauti,kashura kuna kolping,walkguarg,stalla,perfect nk
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini
 
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini
Kumbe hauifahamu bk sijasema IPO nkindo Bali kashura barabara ya maruku mkabala na walkguard zote zipo milimani km kama NNE kutoka mjini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom