Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hii ni bukoba
48e868fc2322c4a3f3764be2941ea394.jpg
a83be3ff9137dc76346744963b60ab7d.jpg
59335ef1c3efe51ff117f900fba114b2.jpg
cf4c36be9c16cb1ae1e032ed7b4d5176.jpg
fe6cff6c6a8e41b2893c9aae2b57d3dc.jpg
6d74ba710065476e0d2181ca4acacc99.jpg
d384a652fb67880b3b09b123cdb68bf2.jpg
c88f4ac8d5a784f4c00b136dbb914d34.jpg
ae19dc4db83e35eed2f12652a345a981.jpg
e626b9ceea4f9fd401153df41093b08a.jpg
kaitaba stadium
ba0fd3990cd51d3dc0ec720e1b14ad89.jpg
mjini kati
aa6b81fe51c9a513e6deced791e7ec06.jpg
bukoba rc cathedral
481f4f2f2b480d2e15f1d7b34419ca29.jpg
miembeni bukoba
2bacc7c68b6a2396d6737328f65f93f8.jpg
kuelekea ziwani kwa mbali msira island
51d10e5fc59d1ef1791b983b4a5be221.jpg
view from kashura
Mi naona bukoba
nshomile buana....mna matatizo sana ninyi watu!
 
Hapo majengo ya nini hayo hayana kazi hizo ni hotel tumia facts na picha sio poroja tu kiswahili

Picha za Nin babu ,kwa aliefika kwa ajili ya kutembea tu hawezi kuambiwa Picha mana sikuona kitu .nimeenda bukoba nkazunguka mwisho nkaishia coffee Na li coffee lenyewe naskia lilikua Jengo la ushirika sasa ndo wakaamua Fanya hotel ,nlilala hapo cuz of wifi only Ila Sio pazuri but Ni afadhali kuliko sehem nyingine yeyote kwa bk.
 
Usinidanganye mkuu, nimekaa Kagera na nimekunywa maziwa ya Kyaka (mtindi) pamoja na Ndizi fulani tamu zilizochomwa (Gonja). Usijitoe ufahamu
Halafu bk pabaya eti achana na bk
 
Picha za Nin babu ,kwa aliefika kwa ajili ya kutembea tu hawezi kuambiwa Picha mana sikuona kitu .nimeenda bukoba nkazunguka mwisho nkaishia coffee Na li coffee lenyewe naskia lilikua Jengo la ushirika sasa ndo wakaamua Fanya hotel ,nlilala hapo cuz of wifi only Ila Sio pazuri but Ni afadhali kuliko sehem nyingine yeyote kwa bk.
Shida hela huna smart hotel,victorious, prince motel,lake view,Stella hotel,kolping,transit,walkguard,perfect,yassira,nk nk
 
Zitaje hizo bank za BK

Nyambafu Moshi Ziko bank kibao,bk Ziko bank Tatu ka Sio nne ,hapa miembeni kuna NBC,NmB iko huku karibia Na central Na crdb pia Yani ovyo tu kanisa ambalo Ni Kubwa linatazamana Na polisi sasa urban planning gani hiyo
 
Zote hizo nazifahamu,Kama kiroyera ndo Naeza sema iko juu zaidi but pia Haina jipya !kuna camping site hapo Na iko ovyo tu ,nliona kijukwaa Kama cha stage ya maharusi kimeinamia ziwani juu wakisimama watu wa Tatu wa nguvu wanaeza zama nacho .then kwa ujumla bk Kama Ni Mgeni chakula Ni shida ,kuna Ki Mgahawa nliingia nkakuta kijana anaeosha sa hani Na kudeki kaliwa funza miguuni Na kavaa nguo ambazo zilikua hazijafuliwa mwezi.

Na mgahawa huo ndo nliambiwa ndo mkubwa.jioni ilipofika nkataka kwenda club ,nkapelekwa sehemu inaitwa oxygen duuuhh humo Ndani Ni carbon dioxide Na Giza balaa .alafu Ni nyumba ya NHC,nkakataa nkapelekwa liners.huko nako ilikua balaa
Club ni nyingi sana hukupata Wa kukutembeza kwanza oksjen ilishafungwa siku hizi kuna sky motel,rwabizi,cassanova,liquid nk shida hamkubali mpaka mnaanza sema uongo bk inaizidi moshii.beach ukwenda bunena na kabuwara nadhani mliogopa milima
 
Kimsingi Moshi imegalagazwa na Bukoba, hilo liko wazi. Moshi ni ndefu imefuata barabara tu kiurefu haiko kimpangilio kama huo wa Bukoba, uzuri nimefika Moshi ila sijafika Bukoba, ila kwa picha hizo alizoweka mdau, bukoba pako vizuri,na sababu iko wazi, wachaga wengi waliofanikiwa kimaisha wamejenga wilayani na vijijini kwao, hivyo kwa hali ya wilaya au vijiji vya Moshi ni vizuri kuliko vijiji vingi vya Tanzania. Wangejenga sana mjini Moshi basi hata Arusha ingezidiwa.
 
Kufananisha bukoba na moshi ni sasa na arusha na mbeya kiukweli moshi ipo huu tena Sana ukilinganisha na bukoba
 
nshomile buana....mna matatizo sana ninyi watu!
Ujue bro issue ilokuja hapa mchaga na mhaya ni kama maji na mafuta kila mmoja ni mjuaji na mbishi kwo kumpata winner ni ngumu labda tuwaulize watu kuja tu
Mchaga anaijua pesa lakini si mtumiaji na mhaya anaijua pesa pia ni mtumiaji.
 
Picha za Nin babu ,kwa aliefika kwa ajili ya kutembea tu hawezi kuambiwa Picha mana sikuona kitu .nimeenda bukoba nkazunguka mwisho nkaishia coffee Na li coffee lenyewe naskia lilikua Jengo la ushirika sasa ndo wakaamua Fanya hotel ,nlilala hapo cuz of wifi only Ila Sio pazuri but Ni afadhali kuliko sehem nyingine yeyote kwa bk.
44aec851883b46e9a5398a104fb3b0bb.jpg
karibu supu
 
Ujue bro issue ilokuja hapa mchaga na mhaya ni kama maji na mafuta kila mmoja ni mjuaji na mbishi kwo kumpata winner ni ngumu labda tuwaulize watu kuja tu
Mchaga anaijua pesa lakini si mtumiaji na mhaya anaijua pesa pia ni mtumiaji.
mimi najua wote wanapenda sana kula ndizi....lol
 
Nyambafu Moshi Ziko bank kibao,bk Ziko bank Tatu ka Sio nne ,hapa miembeni kuna NBC,NmB iko huku karibia Na central Na crdb pia Yani ovyo tu kanisa ambalo Ni Kubwa linatazamana Na polisi sasa urban planning gani hiyo
Mkuu umekosea kuniquote mimi, nimemuuliza hilo swali mleta mada
 
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana
We jamaa liongo sana, utawafanya watu wapachukie Bukoba siku wakifika wakikuta unayaongopa hapa hayapo.


[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
 
Sio kwamba mie ni mzaliwa Wa bkb Bali mie nijuavyo bk inaizidi moshi ndoo maana nimeweka za bukoba na moshi walete zao.Mimi ni mzaliwa Wa jiji la mwanza ilemela milimani barabara ya maduka Tisa ila naipenda bk
Ngoja tuone competition hiyo.
 
Ngoja tuone competition hiyo.
Hebu tuchambue sasa kwa mahitaji ya kijamii Kama shule hospitali Barbara na huduma ya maji ..
Kielimu moshi Ina shule nyingi Sana za sekondari na vyuo vya ufundi pamoja na vyuo vikuu
Kuhisu afya moshi in a hospitali ya mkoa pamoja na rufaa ya Kcmc poa huduma ya barabara lami mpaka vijijini kuhusu maji siongei kwan kila mtu anajibu fursa za ajira hasa kwenye utalii ni nying Sana kulinganisha na bukoba pia hata mapato ya Halmashauri ni makubwa kulinganisha na bukoba xo nimalize ubishi kwamba kulinganisha mikoa hatuangalii majengo Bali ni huduma kwan hata kwa majengo bado moshi inaiacha bukoba mbali
 
We jamaa liongo sana, utawafanya watu wapachukie Bukoba siku wakifika wakikuta unayaongopa hapa hayapo.


[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
Kitu gani hakipo hapo???? Kaskazini sifa tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom