Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Nimecheka kwenye escrow!!!!!!
Duh, leo nimeamua kupost kiovyo ovyo. Bukoba vs Moshi, hapa unatudharau sana, unatakiwa uringanishe vitu vyenye league moja.

Mtazamo wangu; majengo, Moshi wapo juu, acha kabisa. Nilishasoma Bukoba na Moshi boarding, visiting day ndo nilijua Moshi ni town compared to Bukoba, Mzunguko wa pesa, still naona Moshi wapo juu, angalia vyuo vilivyopo Moshi na mashule, kwanza Moshi tourism ipo juu, Bukoba tourist aende kuangalia nini? Lake Victoria?

Ila let's not ignore the fact, Bukoba wanatoa Nshoma nshomile wengi compared to Moshi. Hapa ndo Moshi inapigwa. Escrow wengi from Bukoba, wanasheria wengi from Bukoba...

Nakukumbusha huo ni mtazamo wangu tu. Na vilevile mimi home town, Bukoba so I might be biased.

-callmeGhost
 
Dogo ana bahati this time of the year hatuna muda wa mabishano tunakula mbege tu..

Ila tumempa homework ndogo tu ya TRA amebaki kuhahahaha na vipicha uchwara
Hiv thread inasemaje
 
02a3ca8feaf4d1df3e5ae6d666bcc1be.jpg

a6aadf65be79c11dc07d8a7c0b896e48.jpg

Jango la NSSF KILIMANJARO
91e3658162e1ab0ee5bgbec505b3c0350.jpg

KILIMANJARO MOUNTAIN
2015449b69c3fbe549752ae13c49f40a.jpg

d22cef46d70860f16a1e32c824d7c9d0.jpg

4ab3ea5fd3aece98548ffe079cee60fe.jpg

Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
83d449a8b0491e731e01d6b77e68984d.jpg

f93be88cbd7c874086495ed3d43f3dea.jpg

4f465aaadb9b701f8a957005a88698a1.jpg

Katikati ya manispaa
ee2b51ccee04fad8f677b7c64e979a33.jpg

Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Mjomba, acha utapeli hapo umeweka picha za miji mingine unadai ni Moshi, acha hizo, hakuna malipo hapa.

Picha unayoita katikati ya Manispaa ni picha ya Mwanza mjini, kwenye sanamu ya Nyerere, katikati ya mkutano ya barabara ya Nyerere na Kenyatta kwenye mzunguko jirani na Tunakopesha Limited na njia panda ya kuelekea Police Central na bandarini. Kwa mbali hospitali ya Bugando inaonekana.

Picha nyingine mbili za juu, mojawapo ipo chini ya ile unayoita ni round about ya KCMC, pia siyo ya Moshi. Hiyo na ya chini yake ni picha za Iringa, zilizopigwa Juu ya usawa wa MR Hotel, zinazoionyesha Dodoma Road, kwa mbele inaonekana Kalenga Hotel na ghorofa la Asas kama unapandisha kutokea Manispaa kuelekea Mlandege kupitia uwanja wa Samora.

Mjomba nasikia nyie mnapenda sana magumashi, nilidhani ni kwenye mtonyo tu, kumbe hata picha mko radhi kuduplicate ili kuwin argument!

Mimi sina upande ila uongo ndo uache maana humu siyo wote hatujaitembea vizuri nchi yetu. Ukipenda ongeza na za Mbeya ili ushinde zaidi. Maana Nahisi pia umepost nyingine za Tanga na Arusha

Nampongeza wa za Bukoba kwani yule yeye hajaongeza za miji mingine.
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Nakubaliana na wewe, ila Dar kwa ukweli hakuna ya kufanana nayo. Labda manispaa zake ndo ufananishe na majiji yetu mengine hasa kwa idadi ya watu na ukubwa wa eneo la mji proper.
 
Mimi sio mwenyeji wa mikoa yote miwili, ila nimeishi katika miji yote miwili kwa muda tu wa kutosha mjini na vijijini. Moshi ni mji mzuri na mkubwa kulinganisha na Bukoba. Hata idadi ya watu Bukoba inazidiwa na Moshi na sababu kubwa ni upande wa usafiri, hakuna ruti zozote za daladala katika mji wa Bukoba. Kila unapokwenda lazima upande Bodaboda labda kama unaenda wilayani.
Bukoba mzunguko wa hela ni mdogo sana kulinganisha na Moshi.
Kwa upande wa miundombinu Moshi wapo juu sana.
Kwa mandhari, Bukoba yaweza kuvutia kwa sababu ya Ziwa na vilima kuwa vingi.
Kuna mdau alielezea kuhusu majengo mazuri yapo zaidi katika wilaya za Kagera kuliko Bukoba mjini. Kama huamini hivyo nenda Karagwe(Kayanga mji) na eneo la Bunazi (Missenyi) watu wanapajenga sana.

Kwa mpangilio wa mji bado Moshi inaizidi Bukoba.

Moshi ni mji mdogo kwa eneo lakini ni mzuri na msafi.
Hata kwa idadi ya vyuo vikuu vyenye kuheshimika vipo Moshi;KCMCo,Mwenge,Ushirika nk.


Tatizo la kina Nshomile ni kujisifu bwanaa...

Angalia tuu hata usafiri wa kwenda kwao wameshindwa kununua mabasi mazuri japo sasa njia ipo nzuri MH. Magufuli kawajengea barabara kupitia chato nzuriii......ILA angalia mabasi ya KILIMANJARO NA ARUSHA halafu chunguza mabasi yanamilikiwa na kina nani....kama hukukuta mabasi mengi ni majina yale yalee ya wenyewe...

Wahaya kwa kujisufu...hata kama hana gari atakuambia amepaki benz mlangoni...sijui kwanini...

Sisi tunaamini hata usipopiga kelele kuhusu mafanikio yako yatajionesha yenyewe...acha mafanikio yapige kelele sio wewe upige kelele....

Biashara nyingi angalia waliozishikilia ni kina nani....

Celebrities wa kihaya ni kina nani...?

Ila bila kutafuta sana....kuna kina
1. Nancy Sumari - Arusha
2. Saida Kessy
3. Hoyce Temu
4. Theresa Shayo
kichuguu-albums-miss-tanzania-picture310-world-1967-group.jpg
kichuguu-albums-miss-tanzania-picture311-tanzania67.jpg

Hiv thread inasemaje


@ instanbul polee
 
Duh, leo nimeamua kupost kiovyo ovyo. Bukoba vs Moshi, hapa unatudharau sana, unatakiwa uringanishe vitu vyenye league moja.

Mtazamo wangu; majengo, Moshi wapo juu, acha kabisa. Nilishasoma Bukoba na Moshi boarding, visiting day ndo nilijua Moshi ni town compared to Bukoba, Mzunguko wa pesa, still naona Moshi wapo juu, angalia vyuo vilivyopo Moshi na mashule, kwanza Moshi tourism ipo juu, Bukoba tourist aende kuangalia nini? Lake Victoria?

Ila let's not ignore the fact, Bukoba wanatoa Nshoma nshomile wengi compared to Moshi. Hapa ndo Moshi inapigwa. Escrow wengi from Bukoba, wanasheria wengi from Bukoba...

Nakukumbusha huo ni mtazamo wangu tu. Na vilevile mimi home town, Bukoba so I might be biased.

-callmeGhost
Weka picha, acha maelezo mengi. Bukoba imewekwa na pako vizuri.
 
Hamna kitu brother nimefika huko Na nimekaa week lodge zenyewe zinanuka uvundo.paka camp ,buyekera miembeni,government,uswahilini kote nimefika Hamna kitu!town ndo q bar Na ndo Malaya wanajiona wame fika yan utatuma Picha lakini kwa Mtu aliefika ataona Hamna kitu
Shida wanaishia one way tu na uswaxi ni sawa na kufika mwanza na kuishia mabatini kwenye lodge umefika kashura, ukaona kibeta jee,nkindo,nyamukazi, bandarini custom nk,hotel kama coffee,bugabo,ruhunga,prince motel,sky,victorious,upendo,kolping ,walkguard,kiroyera,stalla,elct,lake view nk
 
Mjomba, acha utapeli hapo umeweka picha za miji mingine unadai ni Moshi, acha hizo, hakuna malipo hapa.

Picha unayoita katikati ya Manispaa ni picha ya Mwanza mjini, kwenye sanamu ya Nyerere, katikati ya mkutano ya barabara ya Nyerere na Kenyatta kwenye mzunguko jirani na Tunakopesha Limited na njia panda ya kuelekea Police Central na bandarini. Kwa mbali hospitali ya Bugando inaonekana.

Picha nyingine mbili za juu, mojawapo ipo chini ya ile unayoita ni round about ya KCMC, pia siyo ya Moshi. Hiyo na ya chini yake ni picha za Iringa, zilizopigwa Juu ya usawa wa MR Hotel, zinazoionyesha Dodoma Road, kwa mbele inaonekana Kalenga Hotel na ghorofa la Asas kama unapandisha kutokea Manispaa kuelekea Mlandege kupitia uwanja wa Samora.

Mjomba nasikia nyie mnapenda sana magumashi, nilidhani ni kwenye mtonyo tu, kumbe hata picha mko radhi kuduplicate ili kuwin argument!

Mimi sina upande ila uongo ndo uache maana humu siyo wote hatujaitembea vizuri nchi yetu. Ukipenda ongeza na za Mbeya ili ushinde zaidi. Maana Nahisi pia umepost nyingine za Tanga na Arusha

Nampongeza wa za Bukoba kwani yule yeye hajaongeza za miji mingine.
Kimsingi Moshi imegalagazwa na Bukoba, hilo liko wazi. Moshi ni ndefu imefuata barabara tu kiurefu haiko kimpangilio kama huo wa Bukoba, uzuri nimefika Moshi ila sijafika Bukoba, ila kwa picha hizo alizoweka mdau, bukoba pako vizuri,na sababu iko wazi, wachaga wengi waliofanikiwa kimaisha wamejenga wilayani na vijijini kwao, hivyo kwa hali ya wilaya au vijiji vya Moshi ni vizuri kuliko vijiji vingi vya Tanzania. Wangejenga sana mjini Moshi basi hata Arusha ingezidiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom