Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Mpe mzigo
 
Kwanini akuulize ukubali? Kwa watu wanaofanya kazi pamoja na wadadisi ni rahisi sana kumjua mwanamke anapokuwa mwezi coz kuna mabadiliko yasiyojificha kivitendo na mwonekano.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
nshakujua, kumbe ndio wewe??? msalimie sana mzee!!
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?

Kila siku najifunza mambo mapya humu kwenye mitandao ya jamii, mfano mabosi wambeya wanaoweka rekodi za siku za masekretari wao, ha ha haaaa🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom