nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,819
- 4,796
thubutu........ni MGANE? kama mgane changamkia fursa...ananipenda tu kama binti yake tena anataka nikaishi kwake
thubutu........ni MGANE? kama mgane changamkia fursa...ananipenda tu kama binti yake tena anataka nikaishi kwake
Mzee anayekuuliza upo period ni mtu wa kumwamini? hii chai ishaanza kupoa maana cjui kuanzia awe boss anawalea wangapi huko kwakeananipenda tu kama binti yake tena anataka nikaishi kwake
Kwa watu wanaoheshimiana sio rahisi kuuliza/kuulizwa swali kama hilo....
Hapo kwenye 'mambo mengi' ndo inawezekana mpaka kufikia kukuulizaga hilo swali.siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
ningekuwa na harufu nisingeuliza halafu kama ushazoea kula k mbovu usidahini wote tupo hivo watu tuna k zenye ubora babuWE ukiwa p, uwa unanuka hata mi huwa nakujua sema naogopaga kuuuliza!
Anaheshima zake hizo ni heshima za wapi? au ndio hizo heshima zake peke yake? hata kama anakusaidia its not fair akuingilie kiyasi hicho unless your okay with it..nitamuulizaje mzee ana heshima zake huyu ohoo
sio ya kimapenziHapo kwenye 'mambo mengi' ndo inawezekana mpaka kufikia kukuulizaga hilo swali.
Kwa hesabu hizo anajua na siku unapokuwa kwenye heat period! Si vibayaMimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
siriasly hana issue mbayaAnaheshima zake hizo ni heshima za wapi? au ndio hizo heshima zake peke yake? hata kama anakusaidia its not fair akuingilie kiyasi hicho unless your okay with it..
Kiutu uzima umeshaelewa anataka nini, ni busara kumsikiliza huenda ana jambo zuri sana la kukusaidia maishani.Secretary ni mke wa boss.
Kupitia hii comment yako nimeelewa ni kwa nini huyo mzee anazijua siku zako!!!.........i was blind but now i see,thank you in advance for commenting it!!sipendi maswali yake ila sina jinsi ndo kaniweka mjini
shika mimba hutakua periodMimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
maboss wa steshenary shop hawanaga hela sana,labda angekuwa boss wa masumin stationaryAtakua hana hela huyo bosi. Angekua nazo hata usingekuja kuandika hapa. Kwanza, umeolewa?!
mm huwezi kujuakabisa yani hata ukisie vipi hujui kaibisaMWANAMKE YEYOTE AKIWA PERIOD ANAJULIKANA
nipe basishika mimba hutakua period
huwa naumwa kiasi pia chunusi maybenachojiuliza ni je huwa anajuaje kuwa upo period? au mwenzetu hata physically tu huwa unaonekana?