Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Jenga mazoea ya kua smart sku zote na ikiwezekana uwe unatumia spray sku zote naamini hatokujua
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Hatari (nyekundu)! Suala langu la pili :Je wewe ni PS au OMS au copy typist tuanzie hapo
 
ingekuwa harufu kila mtu angejua? zikikaribia ndo huwa anaanza kuniuliza kama ameshika tarehe vile
Njia tatu ya kumjua mwanamke yupo kwenye period
1 Uso wake hauna bashasha kama siku za kawaida.

2 Majibu yake huwa ya mkato na hasira flani hivi.

3 Hapendi kuongea kama siku za kawaida pia hupenda sana kulala ovyo ovyo.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Inamaana ulivyoajiriwa tu huyo boss akaanza kukwambia uko hedhi kuanzia huo mwezi wa kwanza kazini??

Ina maana huyo boss alipoajiriwa hapo akaanza kukwambia uko hedhi????

Unapoandika elewa kwamba kuna wanaobadilisha maandishi na kuwa namba ndipo wanaposoma na kuelewa.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Unatafuta nini?
Kiki au mtu aina ya huyo mzee?
 
We naye labda uliwai kujisemesha akakuskia....wanaume wenyewe wa siku izi ata kama ungekuwa mjukuu ukijirahisi tu umeliwa!!! Shauri yako umleavyo ndivyo akuavyo
 
ingekuwa harufu kila mtu angejua? zikikaribia ndo huwa anaanza kuniuliza kama ameshika tarehe vile
Ushasema anakusaidia mengi na mengi ujasema....ata sie huwa tunaulizwa na wenzi wetu tukikaribia
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Inawezekana kuna kaharufu fulani huwa kanamfikia vinginevyo hunda huwa unabadilika sura kidogo labda kwa kuhisi maumivu. Ila usijali mana ni kitu cha kawaida
 
Any way mchukulie poa, na muone kama Baba yako,na timiza wajibu wako kazini.
 
punguza hasira ukiwa period huenda akawa anakusoma kutokana na muonekano wa kila cku kuwa mcheshi ila siku za period unakuwa muda wote umevuta domo tu.
 
Hili nalo la kuomba ushauri humu ? Kweli jf imevamiwa jamani , mwombe ushauri mamako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom