Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Hahaha mpe Mzee mzigo, kazeeka kichwani lkn chini pako safi. Si vibaya akajua siku zako bibie, kinachofutia nikuombwa naniii.
 

Juzi ulikuja hapa unalialia ohoooo unakula mlo moja kwa siku, leo bosi wako kakukaribisha uhamie kwake unaleta nyodo.
Afu usitudanganye, hiyo Ofisi yenu labda ni stationary lkn kwa ninavyojua jua Ofisi ya capital ya one billion wafanyakazi wake hawawezi kulia lia njaa Kama wewe mama.
kumbe kula sana ndo utajiiri eeh
nakula elf kumi kwa siku kwa taarifa yako
 


Juzi ulikuja hapa unalialia ohoooo unakula mlo moja kwa siku, leo bosi wako kakukaribisha uhamie kwake unaleta nyodo.
Afu usitudanganye, hiyo Ofisi yenu labda ni stationary lkn kwa ninavyojua jua Ofisi ya capital ya one billion wafanyakazi wake hawawezi kulia lia njaa Kama wewe mama.

Huyu anajidanganya mwenyewe ndiyo maana nikamjibu kama nilivyomjibu...
 
Kwa watu wanaoheshimiana sio rahisi kuuliza/kuulizwa swali kama hilo....
Inawezekana kabisa ulishamegwa na kwavile hauwez tuambia kuhusu hilo basi umekuja na gia ingine ili tujue ukaribu wako na huyo BoSS
 
[Q UOTE="Miss Natafuta, post: 17149499, member: 325782"]kumbe kula sana ndo utajiiri eeh
nakula elf kumi kwa siku kwa taarifa yako[/QUOTE]
Huna lolote
 
damu hainaga harufu mkuu
Katika kitu chenye harufu mbaya katika mwili wa binadamu wa jinsia ya kike ni damu ya period. Uvundo wake hauna mfano. Jichunguze usikute kweli harufu ya damu inamtesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom