Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Si Una Dalili jaman Au Pedi inaonekana ukiivaa...
 
Kupitia hii comment yako nimeelewa ni kwa nini huyo mzee anazijua siku zako!!!.........i was blind but now i see,thank you in advance for commenting it!!
ananilipa
kampuni yake amenilipia nyumba
so kaniweka mnjini kwa maana hyo
 
maboss wa steshenary shop hawanaga hela sana,labda angekuwa boss wa masumin stationary
Kumbe kuna wana JF hawana haja ya kununua bundle kuingia hapa, bundle ni package ya ajira.
 
Ila mleta mada naye uum. Siku kadhaa nyuma alileta uzi anatafuta mtu (kama sikosei). Leo oh bosi sijui anamuuliza nini.
boss wangu mzee ana familia wala hajawai kunitongoza
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Unajilegeza sana kama mgonjwa wa malaria kuwa ngangari mtoto wa kike kama unapata maumivu jifunze namna ya kucontrol uwe fiti kama ni uchovu tumia vinywaji laini vikuburudishe usikubali unapokuwa period upoteze furaha yako ya kila siku ndo mana anajua shida yako be strong we wa like bhana
 
ningekuwa na harufu nisingeuliza halafu kama ushazoea kula k mbovu usidahini wote tupo hivo watu tuna k zenye ubora babu
Ungekuwa una K yenye ubora isingekuwa inatoa harufu hadi Mzee wa watu anashindwa kufanya kazi.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Alafu unamsalimiaga kwa kupeana mikono ndo mana anajua joto la siku zingine ni tofauti na la period
 
ananiuliza tu mfano mbona umechoka upo period? au nikimwambia naumwa atauliza tu upo period halafu unakuta kweli nipo period
Wote wawili mnatakiwa kujifunza work ethics, hayo mnayofanya yanahatarisha professinal relationship kati yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom