[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mkuu nimecheka sanaaaa"Mzee sana" miaka 55. Na Lemutuzi asemeje. Tena muombe radhi
Usikute unatoaga harufu baba wa watu anaisikia
njoo nikufahamu for two mounth uoneAah wap
ha hahaahhahaNa kiroho papo kama kunguru bhana.
Kuwa smart zaidi inaonekana ww ni mneneMimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Lol,mie angejuta kaniulizia ...She is ok with it mamii,maana mpaka anajianika humu,duuh yaani hadi aibi aisee.
Kama hivyo i can understand,lakini from no where aniulize eti sijui nini zako zimefikia seriously?Lakini mamii kama ujuavyo kama watu waliishafunuana hilo swali ni kama kachumberi tuu,hawa inaonesha ni item.
Miaka 55 sio mzee sana.Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Labda wewe uliwahi kumwambia tarehe zako za period akazishika.ingekuwa harufu kila mtu angejua? zikikaribia ndo huwa anaanza kuniuliza kama ameshika tarehe vile
Mwanamke akiwa kwenye period ana kuwa na hasira sio za kawaida.mm huwezi kujuakabisa yani hata ukisie vipi hujui kaibisa
Kumbe anakuona umechoka ndio maana ana jua kama upo kwenye period.ananiuliza tu mfano mbona umechoka upo period? au nikimwambia naumwa atauliza tu upo period halafu unakuta kweli nipo period
"Mzee sana" miaka 55. Na Lemutuzi asemeje. Tena muombe radhi
He is 56Kwani Le Mutuzz kafika 50+???
Ha ha ha una tatizo wewe si bure"Mzee sana" miaka 55. Na Lemutuzi asemeje. Tena muombe radhi