moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
mbona boss alinambia nimtafute hotel ambayo ngumu kupata skendo ili atafune mzgoulikuwepo?
mbona boss alinambia nimtafute hotel ambayo ngumu kupata skendo ili atafune mzgoulikuwepo?
Miaka 55 ni mzee??? Mmhh. Kwan ww una miaka 19 au 20?Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
MP.....Mbona ni kitu rahisi sana kumgundua mwanamke anaekaribia au ambaye yupo pm...wengi wao hutokwa na vipere usoni...mara wawapo kwenye siku zao hivyo usishangae pengine kuna alama uliyonayo inayompa viashiria kuwa upo pm...hakuna cha ajabu hapo ila la ajabu ni yeye kujifanya anakujua zaidi ya unavyojijua wewe mwenyewe
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
nitamuulizaje mzee ana heshima zake huyu ohoo
asante mkuuMP.....
Yaani azuke tu na kujua kwamba unavuja? hapo sio bure kuna kitu,wewe sema kweli tu usifiche maana hailo jambo la siri sana kwa mwanamke,kwa hiyo wewe ndio unajua ulimgeya au ?Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Halafu wakati mwingine period huwa zina harufu kali sana ujue,kwa hiyo jaribu kubadilisha pedi maranyingi.Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Basi ya nini unauliza hapa tena?wakati huwezi kukomesha hiyo tabia ya paka anaposikia harufu ya samaki.siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
N wewe umeona kuna kitu hapo au vipi?Mmmhhh. ok wewe ndiye unajua bwana.
Ukaishi kwake tena,haya uje ulete mrejesho basi,maana wewe unatafuta.ananipenda tu kama binti yake tena anataka nikaishi kwake
Unajuaje kama boss mwenyewe si Le Mutuz.boss wako mbona yupo sawa na lemutuz na lemutuzi sio mzee sema ni mtu wa viwanjwa na wabebezi wakali
Toa siri mamii au vipi? inaonesha mzee kesha kula mnofu huyo,na tarehe za mp kaandika kwenye diary.Inavyoelekea wameshapita hiyostage.
Lakini mamii kama ujuavyo kama watu waliishafunuana hilo swali ni kama kachumberi tuu,hawa inaonesha ni item.Mbona kama una mpa nafasi akuzowee? aliazaje mpaka afike huko kote? alikuonananini? unaumwa sanaaa au ?
Mie ningemkata jicho asinge rudia tena kuuliza na mijicho yangu hii mikubwa angejuta kaniulizia nini...
Hakuna k mbovu bhana,zote sawa tu ila matunzo na usafi,sasa hayo ya ubora yanatoka wapi?ningekuwa na harufu nisingeuliza halafu kama ushazoea kula k mbovu usidahini wote tupo hivo watu tuna k zenye ubora babu
thubutu........ni MGANE? kama mgane changamkia fursa...