Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Wote wawili mnatakiwa kujifunza work ethics, hayo mnayofanya yanahatarisha professinal relationship kati yenu.
kweli sipendi huyu mzee anavonifatilia hivi ndo maana hata nilikataa kuishi kwake
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?

Miaka 55 huyo sio Mzee dada yangu. Tingisha kabla ya kunywa ...
 
Hivi "period" ni aibu?
Nijuavyo mimi ni hali ya kawaida katika mzunguko wa mfumo wa uzazi kwa mwanamke.
 
aisee mngejua yaani mtaji wa kampuni hata bilioni moja ndogo
stationary na degree?

kweli sipendi huyu mzee anavonifatilia hivi ndo maana hata nilikataa kuishi kwake


Juzi ulikuja hapa unalialia ohoooo unakula mlo moja kwa siku, leo bosi wako kakukaribisha uhamie kwake unaleta nyodo.
Afu usitudanganye, hiyo Ofisi yenu labda ni stationary lkn kwa ninavyojua jua Ofisi ya capital ya one billion wafanyakazi wake hawawezi kulia lia njaa Kama wewe mama.
 
Mbona ni kitu rahisi sana kumgundua mwanamke anaekaribia au ambaye yupo mp...wengi wao hutokwa na vipere usoni...mara wawapo kwenye siku zao hivyo usishangae pengine kuna alama uliyonayo inayompa viashiria kuwa upo mp...hakuna cha ajabu hapo ila la ajabu ni yeye kujifanya anakujua zaidi ya unavyojijua wewe mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom