Bora Mtu umalize form four na miaka 30 kama yule jamaa ambaye hazeeki kuliko kununua cheti kwakuwa utakuwa na cheti kizuri ila kichwani hamna kitu.

Bora Mtu umalize form four na miaka 30 kama yule jamaa ambaye hazeeki kuliko kununua cheti kwakuwa utakuwa na cheti kizuri ila kichwani hamna kitu.

Nguo ya kuazima siku zote.. Huwa haishikilii makalio vizuri.
 
Kwani hao wanasiasa wenye vyeti magumashi hawakukaguliwa katika lile zoezi la ndalichako kuhakiki vyeti vya NECTA?
 
Kwani hao wanasiasa wenye vyeti magumashi hawakukaguliwa katika lile zoezi la ndalichako kuhakiki vyeti vya NECTA?
 
Wanasiasa Ambao mnavyeti vyamagumashi kiukweli Mnaonekana kuwa hampo vizuri kiutendaji .

Mimi nimeona hilo.
wananchi ndio kuamua kwenye ballots papers ndani ya ballot boxes na sio vyeti vya form four au university vya mtu.

kujua kusoma na kuandika ndio sifa msingi ya kiongozi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi yetu.

kuona umagumashi wa vyeti vya mtu with no evidence inaonekana tu kuna issues za binafsi ndani yake 🐒
 
wananchi ndio kuamua kwenye ballots papers ndani ya ballot boxes na sio vyeti vya form four au university vya mtu.

kujua kusoma na kuandika ndio sifa msingi ya kiongozi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi yetu.

kuona umagumashi wa vyeti vya mtu with no evidence inaonekana tu kuna issues za binafsi ndani yake 🐒
🤡🤡🤡
 
Back
Top Bottom