miaka 30

Fushigi Yūgi (Japanese: ふしぎ遊戯, lit. "Mysterious Game"), also known as Fushigi Yûgi: The Mysterious Play or Curious Play, is a Japanese shōjo manga series written and illustrated by Yuu Watase. It tells the story of two teenaged girls, Miaka and Yui, who are pulled into The Universe of the Four Gods, a mysterious book at the National Diet Library. It is essentially based on four mythological creatures of China. Shogakukan serialized Fushigi Yûgi in Shōjo Comic from December 1991 to May 1996 and later compiled the manga into eighteen tankōbon volumes.
Studio Pierrot adapted it into a fifty-two episode anime series that aired from April 1995 to March 1996 on TV Tokyo. The anime spawned three original video animation (OVA) releases, with the first having three episodes, the second having six, and the final OVA, Fushigi Yûgi: Eikoden, spanning four episodes.
A thirteen-volume Japanese light novel series, written by Megumi Nishizaki, followed Fushigi Yûgi. Shogakukan published the novels from January 1998 to September 2003. Watase also released two prequel manga series: Fushigi Yûgi: Genbu Kaiden, which ran from March 2003 to February 2013, and Fushigi Yûgi: Byakko Senki, which began serialization in August 2017.
In North America, Viz Media licensed the manga series for an English-language release in 1999. The anime series was first licensed by Geneon Entertainment and re-licensed by Media Blasters in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. bless on

    Mfalme wa Reggae Bongo Kupuuzwa na Fid Q na Madee Miaka 30 Bongo fleva

    Huyu mwamba alishapata tuzo ya msanii wa muziki wa Rege Bongo enzi hizo..alikuwa mnyamwezi sana..anasuka madredi yake toka kitambo.. Alifanya muziki mzuri sana hadi watu tukampenda sana..akawa na mdogo wake anaitwa Fatma ndio aliimba naye..wimbo fulani hivi, halafu huyo Fatma ndio akaimba na...
  2. Pascal Mayalla

    Katika Kipindi cha Miaka 30 ya Uwepo Wake, TRA Yafanya Mengi, Makubwa, Muzuri ya Mafanikio, Mfano ni Hai ni Hii Taarifa ya Mwaka Mmoja Tuu!.

    Wanabodi, Naendelea na Makala maalum za Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA, hii ni taarifa ya TRA Wenyewe Niwatakie Jumamosi Njema. Paskali.
  3. Pascal Mayalla

    Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Kuzungumzia siku ya Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho...
  4. Papillon 1906

    Mambo ambayo watu wenye umri wa miaka 30 na kuendelea wanafanya na vijana wa kizazi cha Gen Z wanaona ni ya kushangaza ni pamoja na?

    - Kupiga simu badala ya kutuma ujumbe.Gen z wanapendelea kutuma ujumbe kupiga simu wanaona ni kuingilia uhuru wao binafsi. Mambo gani mengine yakushangaza funguka?
  5. figganigga

    Hivi inakuaje mtu wa miaka 30+ Hajawahi kufika Namanyere?🤔

    Yaani unakuta mtanzania anakaribia miaka 35 na anasema ana akili timamu lakini eti hajawahi kufika Namanyere. Hivi inakuaje mtu unakaa sehemu Moja, unazaliwa hapo unakufa na kuzikwa hapo?. Matembezi yako ni Sokoni na kwenye ibada tu. Inawezekanaje? Hivi mtu wa hivyo kichwani anakuwa na...
  6. ndege JOHN

    Miaka 30+ Sio Umri wa Kujaribu Kujaribu Tena, Huu ni Muda wa Kujillipua

    Miaka 10 iliyopita nilikuwa na uwezo wa kubeba ndoo mbili kubwa za maji kama nimebeba kamzigo. Leo hii ukinipa ndoo moja hatua tano tu nasimama kupumzika kama mzee wa miaka 60.. nilikuwa nakimbia masaa mawili bila shida. Sasa nikikimbia mita 100 unajikuta unahema kama mbwa..na muda unavyokwenda...
  7. K

    Damu haikauki; Raul Castro (94), ashtakiwa kwa mauaji ya miaka 30 iliyopita akiwa Waziri wa Ulinzi

    Wakati kakaake Fidel akiwa Rais ye ndo kidume cha utekaji, utesaji, ufiraji, ubakaji na mauaji Lakini hizi jinai za damu huwa haziozi. Methali za mavi ya kale hayanuki ni uongo tulikaririshwa shule. Shule zetu zile zilikuwa mbovu, ndo maana tunaagiza viberiti Kenya. Charge sheet, hati ya...
  8. Sakwe

    Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Wakuu na wasilimu sana ! Bila ya kupoteza muda mimi ni mwalimu wa shule moja ya private huku kijijini ndani ndani na muhitimu wa shahada ya ualimu masomo ya arts(Sanaa). Lengo la uzi huu kwa wanajamvi ni kuwa uliza hivi kweli kwa kipato hiki cha laki 250,000 ntaweza kutoboa kimaisha kweli...
  9. A

    KERO Responded Tumefanya kazi JKCI-Dar Group zaidi ya Miaka 30, tunaondolewa bila kulipwa kiinua mgongo, inauma sana

    Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha mikataba yetu ya kazi na kututupa kiinua mgongo licha ya kufanya kazi hapo kwa zaidi ya miaka 30. Kundi...
  10. Arsenal Gunner

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Hapa mtaani Kuna jamaa ni likubwa miaka 33 ila lipo nyumbani kwao linakula ugali wa shikamoo ubaya babayake analalaimika mtaani jamaa hataki kazi yeye kazi yake ni kubeti tu hivi huyu jamaa anaakaili timamu maana hata mtoto na mke Hana yeye kazi ni kushinda kijiweni na kurudi nyumbani kula hivi...
  11. DR HAYA LAND

    Kijana ambaye yupo na miaka 20+ anakuwa anaona miaka 30 ni mingi sana , vile vile kijana mwenye miaka 30+ anakuwa anaona miaka 40 ni mingi sana

    Huwa nikikaa na vijana hasa , ambao wapo early twenties na ambao wapo early thirties Ni kama wanaishi katika Dunia FAKE ambayo sio genuine. O.G Utakuta ana miaka 20+ ila anakuambia mpaka anaingia miaka 30 atakuwa amesha Fu-ck odds ana Nyumba , gari , biashara n.k Akiamini miaka 30 kuifikia ni...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Vipaumbele vikuu vya mwanaume mwenye umri wa miaka 30+

    VIPAOMBELE VIKUU VYA MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 30+ Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kila umri unavipaombele vyake. Umaana wa maisha unauleta wewe kupitia vipaombele vyako. 2. Ili ufanikiwe utahitaji kuzingatia vipaombele kulingana na umri wako, fursa zinazokuzunguka, mbinu, uwezo na...
  13. Wakusolve

    Kama kijana upo chini ya miaka 30 soma hapa ili ufanikiwe kwenye maisha

    Ili kijana kujenga mafanikio yenye heshima na ambayo ayachoshi roho yako zingatia vitu hivi hapa. 1.uhusiano wa kiroho(spirtual relationship) Kijana hili ufanikiwe ni muhimu kujenga uhusiano wako na Mungu katika maisha yako. Uhusiano wako na Mungu unajengwa private na sio public, Tenga muda...
  14. Pdidy

    Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake. Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini? Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
  15. Allen Kilewella

    Itatuchukua miaka 30 barabara za TANROAD zote kuwa na lami

    Takwimu zinaonesha kuwa ili barabara zote zinazosimamiwa ba TANROAD ziwekwe lami itachukua miaka 30.
  16. Tundusami

    Ogopa kuanzisha mahusiano na mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea, wengi wapo kimkakati

    Ogopa kuanzisha mahusiano na mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea afu ukute ana mtoto achana naye mara moja wengi wapo kimkakati. Awanaga mapenzi hao umri wao wa kupenda ushapita wanataka tu kuficha aibu ya kutoolewa na wapo kimaslahi zaidi kukuua kwao jambo dogo
  17. Fbn

    Jennifer Lopez's umri wake sasa 56 ila unaweza kusema wa miaka 30.

  18. stakehigh

    Ukivuka miaka 30 umeshaishi nusu ya maisha yako, maisha unayopambania sio yako tena bali familia yako

    Kwa wale ambao walifanikiwa kuzaliwa katika familia nzuri wakakuta kila kitu kipo, kama walikuwa na akili nzuri ya maisha basi kabla ya miaka 30 wanakuwa wameshamaliza kujitafuta na kuweka msingi mzuri, hata kama sio kwa kiasi kikubwa lakini sehemu inayobaki ni ya kujazia tu. Kwa mfano: Kama...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Mwanachama CUF: Ahadi za CCM ni zile zile wameshindwa kutimiza ndani ya miaka 30

    Akizungumza leo Septemba 15, 2025 Kutoka Kijiwe cha Kivulini, Mikocheni – Hanifa Mgonela, Mwanachama wa chama cha CUF anaweka wazi namna ambavyo suala la ajira Tanzania limekuwa fumbo lililokosa majawabu.
  20. F

    Muinjilisti ahukumiwa miaka 30 jela kwa kubaka mtoto wa mwaka 1 Pangani

    Mahakama ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mtuhumiwa Grayson Muze Msemo (miaka 55), Mkristo, Muinjilisti na mkazi wa Raskazoni Tanga, baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kubaka mtoto mwenye umri wa mwaka 1 na miezi 4. Akisoma hukumu hiyo jana tarehe 10...
Back
Top Bottom