Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Wawape fedha kama walivyoahidi Madame Ritta asilete janja janja kama alizozifanya kwa kina Kayumba.
 
Hivi nasikiaga shindano lilishsgaisha hadi mshindi kapatikana wanachofanya n kupost tu
 
Hata Mimi wamenishangaza sana wale wawili waliotolewa walistahili na yule jamaa wa kurap freestyle aliyeingizwa kama mgeni mpya nae alizingua sema ni vile ana back up ya Madam Rita ndio maana wakamtoa jamaa kafara
Nahisi Joshua ataurudishwa tena kutokana na Kelele za mashabiki lakini ningekua mimi ningekataa kurudi
 
Hata Mimi wamenishangaza sana wale wawili waliotolewa walistahili na yule jamaa wa kurap freestyle aliyeingizwa kama mgeni mpya nae alizingua sema ni vile ana back up ya Madam Rita ndio maana wakamtoa jamaa kafara
Kwanza walivyoanza kuingiza mshiriki katikati ya pambano nikaona uswahili na utapeli umeanza.
Leo wanayaoga tu matusi huko Insta.
BSS hii hapana Kwa kweli ishapoteza uhalisia.
Jana wamefanya zaidi ya ujinga..
Master J nashangaa sana mbona jamaa Kawa chawa, hasemi tena ukweli.
 
Hata Mimi wamenishangaza sana wale wawili waliotolewa walistahili na yule jamaa wa kurap freestyle aliyeingizwa kama mgeni mpya nae alizingua sema ni vile ana back up ya Madam Rita ndio maana wakamtoa jamaa kafara
Mimi toka last week nisema
Huyu mgeni kaja kukamilisha Mipango ya utapeli wao wa kutoa watu wenye uwezo
Mshiriki anaingiaje katikati ya pambano?
Alikuwa wapi?
Kwani Rita anakufa?au amefilisika kiasi kwamba mwakani hakutakuwa na BSS,kwanini asisubiri mwakani ifike afuate procedure?
Rita amekuwa Bure sana yaani anakera.
 
Kwanza walivyoanza kuingiza mshiriki katikati ya pambano nikaona uswahili na utapeli umeanza.
Leo wanayaoga tu matusi huko Insta.
BSS hii hapana Kwa kweli ishapoteza uhalisia.
Jana wamefanya zaidi ya ujinga..
Master J nashangaa sana mbona jamaa Kawa chawa, hasemi tena ukweli.
Shida Wala sio masterjay shida ni Madam Rita huyo ndio aliyemlets huyo mshiriki ingawa Salam Jabir alipinga na Master Jay akamchana huyo mshiriki kwa kweli hakuna ubunifu wowote aliyouketa
 
Mimi toka last week nisema
Huyu mgeni kaja kukamilisha Mipango ya utapeli wao wa kutoa watu wenye uwezo
Mshiriki anaingiaje katikati ya pambano?
Alikuwa wapi?
Kwani Rita anakufa?au amefilisika kiasi kwamba mwakani hakutakuwa na BSS,kwanini asisubiri mwakani ifike aguate procedure?
Rita amekuwa Bure sana yaani anakera.
Mapenzi yake binafsi na nguvu aliyonayo ndio anashinikiza maamuzi yake.Hili la mgeni alishapinga Salam Jabir kitambo Sema ndio hivyo Hana nguvu
 
Mapenzi yake binafsi na nguvu aliyonayo ndio anashinikiza maamuzi yake.Hili la mgeni alishapinga Salam Jabir kitambo Sema ndio hivyo Hana nguvu
Mi nilimsifu sana salama
Na Jana amesimamia msimamo wake
Na salama Hana papara
Ingekuwa ni Master pale angegombana na Rita maana master J hawezi kuvumilia kukaa kimya..naona sasahivi ameacha kumpinga Rita ili kuepusha ugomvi unaweza kutokea baina Yao.
Rita anazingua sana,
pambano lake litamfia Kwa kujiamlia anachotaka yeye.
 
Shida Wala sio masterjay shida ni Madam Rita huyo ndio aliyemlets huyo mshiriki ingawa Salam Jabir alipinga na Master Jay akamchana huyo mshiriki kwa kweli hakuna ubunifu wowote aliyouketa
Master J sasahivi ye ni kusifia tu na kukubaliana na Rita kila kitu
Coy sijui hata wametumia kigezo gani kumuweka pale ajaii hadi waimbaji.
Coy anajua nini kuhusu muziki?
Kwanini asijaji comedy zake tu ,mambo ya uimbaji wangebaki walewale
 
Master J sasahivi ye ni kusifia tu na kukubaliana na Rita kila kitu
Coy sijui hata wametumia kigezo gani kumuweka pale ajaii hadi waimbaji.
Coy anajua nini kuhusu muziki?
Kwanini asijaji comedy zake tu ,mambo ya uimbaji wangebaki walewale
Coy walimuweka kwasababu ya talented comedians
 
Back
Top Bottom