Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Sio kweli kwenye waimbaji wote wale Saint Anne hakuna anayemfikia Praise kwenye uimbaji ni vile tu nyinyi hampendi nyimbo za kiingereza, nyimbo anazochagua kuimba yule dada ni ngumu kama vocal yako ni ya kawaida
Amechagua wimbo ngumu na bado akashindwa kuimba.. performance yake ya j2 ilikuwa mbaya kiukweli.

Hivi umejaribu kusikiliza Freya?
Yeye pia anaimba kiingereza tangu ameanza.
Ila uwezo wake huwezi kumlinganisha na huyo dogo..

Mshindi wa BSS mwaka jana alikuwa anaimba sana kiingereza pia
Na alishinda na nilikuwa fan wake.

Hatumsemi Praise Kwa sababu anaimba kiingereza
Ishu si yeye kuimba kiingereza
Ishu ni juzi aliboronga.
 
Amechagua wimbo ngumu na bado akashindwa kuimba.. performance yake ya j2 ilikuwa mbaya kiukweli.

Hivi umejaribu kusikiliza Freya?
Yeye pia anaimba kiingereza tangu ameanza.
Ila uwezo wake huwezi kumlinganisha na huyo dogo..

Mshindi wa BSS mwaka jana alikuwa anaimba sana kiingereza pia
Na alishinda na nilikuwa fan wake.

Hatumsemi Praise Kwa sababu anaimba kiingereza
Ishu si yeye kuimba kiingereza
Ishu ni juzi aliboronga.
Praise hajawahi kuharibu kabisa wewe umepima kitu gani mpaka useme performance yake ya juzi ni mbaya?
 
Kwa waimbaji wote wa BSS hakuna hakuna anayemfikia Praise kwa kuimba sio huyo pekee kitu pekee ambacho nataka nimuone akiimba nyimbo hizi za bongofleva ana sound vipi
Basi kila mtu abaki na mtazamo wake
Kwangu mimi freya ni mkali
Vocal range yake, keys zote anaweza kuinga, iwe juu au chini anaweza.
Mpangilio wake wa uimbaji
Na Hana mbwembwe sana.
 
Basi kila mtu abaki na mtazamo wake
Kwangu mimi freya ni mkali
Vocal range yake, keys zote anaweza kuinga, iwe juu au chini anaweza.
Mpangilio wake wa uimbaji
Na Hana mbwembwe sana.
Yah inabidi kila mmoja abaki na mtazamo wake
 
Back
Top Bottom