Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Hadi Sasa praise amekuwa na round 2 Kali mfululizo
Round ya kwanza amekuwa wa 2 kuperformance
Round ya 2 anaongoza. Huku wenzie round zote wsmepotea

Hata ya 3 aliboronga back atashinda
Yeeahh, wakitumia wastani wa alama kwa Kila round yeye zote amefanya vizuri, na sidhani kama ataharibu hii ya mwisho.
Anabeba, labda Rita azingue, maana eti alikuwa anamuhoji Koy kwanini azingatie alama za kwenye karatasi.
 
Hata akiharibu ya mwisho
Bado ya 1 na 2 inambeba
Yeeahh, wakitumia wastani wa alama kwa Kila round yeye zote amefanya vizuri, na sidhani kama ataharibu hii ya mwisho.
Anabeba, labda Rita azingue, maana eti alikuwa anamuhoji Koy kwanini azingatie alama za kwenye karatasi.
 
Freya round ya mwisho anarudi kwenye ubora wake na nyimbo ya taratibu
 
Ni final tu
Ila kabla ya final alikuwa na ushindani mkubwa sana
Kiuwezo Freya ni mkali sana zaidi yake
Ilahajachanga karata zake vizuri Leo
Ameona ahamie kwenye minyimbio ya kelele ambayo haipimi uwezo wake kuimba.
Freya ni mzuri lakini choice of songs nizilikuwa zinamuangusha kupendwa na watanzania na ndio maana sijawahi kumchukulia ni mshindani wa Praise
 
Freya ni mzuri lakini choice of songs nizilikuwa zinamuangusha kupendwa na watanzania na ndio maana sijawahi kumchukulia ni mshindani wa Praise
Watanzania wanamkubali sana
Leo amechagua nyimbo ambazo si common sana na hazionyeshi makali yake..
Hope 3rd atakaza na kurudi kwenye level zake.
 
Back
Top Bottom