Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Shida wengine wengi wamezingua, round hii waliofanya vizuri ni Comedian na Praise tu.
Nafikiri waliobaki watajitafakari kutuliza wenge na Kila mtu kufanya katika namna zao Bora.
Hadi Sasa praise amekuwa na round 2 Kali mfululizo
Round ya kwanza amekuwa wa 2 kuperformance
Round ya 2 anaongoza. Huku wenzie round zote wsmepotea

Hata ya 3 aliboronga back atashinda
 
Huyo dogo ni mnoma, shida alikuwa anaimba za kufanana Kila siku, ila ni mkali sana.
Binafsi ni Freya au Praise.
Alikuwa anaweka udambwi mno Hadi akawa anaharibu
Ila amepunguza yake mambwmbwe yasiyo maana
 
Me nilisema Praise Hana mshindani sahihi wa hili shindano ndio nachokiona Sasa
Ni final tu
Ila kabla ya final alikuwa na ushindani mkubwa sana
Kiuwezo Freya ni mkali sana zaidi yake
Ilahajachanga karata zake vizuri Leo
Ameona ahamie kwenye minyimbio ya kelele ambayo haipimi uwezo wake kuimba.
 
Back
Top Bottom