Huyu dada ana kipaji cha pekee sijui kwanini kwenye hili jukwaa hawamkubali wanaona kama anabebwaHuyu wa UG 🔥
Huyu dada ana kipaji cha pekee sijui kwanini kwenye hili jukwaa hawamkubali wanaona kama anabebwaHuyu wa UG 🔥
Performance yake ni mbayaSamarellah hawezi kutoka performance yake ina unafuu kuliko wengine waliperform ukimtoa Praise
Mimi huwa natoa maoni yangu kwa haki siku zoteBora umeamua kuwa mkweli
Hicho kitoto kimeweza aisee. Kipewe mauwa yakeHuyu wa UG 🔥
Huyo dogo ni mnoma, shida alikuwa anaimba za kufanana Kila siku, ila ni mkali sana.Huyu dada ana kipaji cha pekee sijui kwanini kwenye hili jukwaa hawamkubali wanaona kama anabebwa
Mganga wake fainali amewezaHicho kitoto kimeweza aisee. Kipewe mauwa yake
Na shida ndio ilikuwa hapoHuyo dogo ni mnoma, shida alikuwa anaimba za kufanana Kila siku, ila ni mkali sana.
Binafsi ni Freya au Praise.
Shida wengine wengi wamezingua, round hii waliofanya vizuri ni Comedian na Praise tu.Mganga wake fainali ameweza
Huyu demu asiposhinda, bc n roho mbaya ya kulazimisha mshindi awe mbongoHuyu dada ana kipaji cha pekee sijui kwanini kwenye hili jukwaa hawamkubali wanaona kama anabebwa
Hadi Sasa praise amekuwa na round 2 Kali mfululizoShida wengine wengi wamezingua, round hii waliofanya vizuri ni Comedian na Praise tu.
Nafikiri waliobaki watajitafakari kutuliza wenge na Kila mtu kufanya katika namna zao Bora.
Alikuwa anaweka udambwi mno Hadi akawa anaharibuHuyo dogo ni mnoma, shida alikuwa anaimba za kufanana Kila siku, ila ni mkali sana.
Binafsi ni Freya au Praise.
Ni final tuMe nilisema Praise Hana mshindani sahihi wa hili shindano ndio nachokiona Sasa