kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 871
Hi
Hiyo nimeipenda mkuuhospitalini wapo wao tu
Hiyo nimeipenda mkuuhospitalini wapo wao tu
Hahahahaha kweli hii bongojambaz anavua viatu akivamia kwnye nyumba...
hahahaa.. mkuu wewe ni muongo daah..
ila hongera kwa kuangalia movie za home
Uwiiiiioeeee yeuwiiiiiiii, jaman we Muongo sijawah onamwanamke anamuwekea sumu mumewe kwenye kikombe cha chai anaonja kidogo aone kma imekolea then anamuwekea ila cha ajabu mume akinywa anakufa
mwanamke anamuwekea sumu mumewe kwenye kikombe cha chai anaonja kidogo aone kma imekolea then anamuwekea ila cha ajabu mume akinywa anakufa
lahaula umenichekesha saaaana pale mzuka ama ghost unapotizama huku na huko ili uvuke barabara .jambazi linapovua viatu linaingia kuiba sehemu................. chineeekeNi katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
Daah we mdosi,yaani unataka wafanye kama kina govinda?Itabidi wajipake viksi...lol
Kama wewe mamii?familia za kitajiri lazima ukute kuna ulinzi mkali kwa watt wa kike na wengi wao wanasoma nje ya nchi
Sio punda wa unga Mkuu,wanaishia kuwa nyumba ndogo za WAHESHIMIWa,yaani full kuvaa uchi uchi na kuvaa nguo zenye kutikisa ZE TIGO.Miaka kama mitano nyuma nilinunuaga bongo movie kama tatu hivi kwa nyakati tofauti, nilidhani ntapata burudani! Kila niliyonunua ilizidi kuniboa zaidi nikaweka mipaka kuwa ntanunua tena baada ya miaka 10 ijayo labda watakuwa wameboresha. Kumbe mpaka leo ni yale yale! Utakuta filamu inatengenezwa na watu wasifika watano. Staring mpaka Dereva ni huyohuyo!
Mademu wa humo ni kuuza sura tu hawana uhalisia wowote action zao, wana act kwa kunatanata na kujishebedua ili kukuza soko la sura! matokeo yake wanaishia kuwa punda wa unga!
Kuna movie moja nilikuona mamii,ulivyokuwa unajibinua huko uwani daah?Hahahaa haaaa uwiii
Mamii ,basi mimi nikajua wewe matawi fulani ,kumbe na wewe huwa unaangalia movie za house girls wetu,mimi house girl wangu huniambia"BABA NIMEMALIZA KAZI NAOMBA UNIWEKEE SENEMA ZA KINA WEMA SEPETU NIANGALIE",basi na mimi namuwekea hayo madudu,anafurahi mpaka anasahau kwao Kimbiji.hahaha! Loh mbafu sangu miye!
Siri ya mtungi,yale ni maji marefu,muhusika Mkuu ni Mzungu aliebobea katika biashara hiyo.Hivi nani wanaotengeneza yale sponsored maigizo kama SIRI YA MTUNGI (correct me kama nimekosea title). Yale maigizo ni mazuri sana na yako very realistic n ukitizama huwezi kutoa kasoro. Bongo movies wanashindwa nini?
Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
Sasa kama mtoto ni teja halafu wazazi wake wanajisopusopu unategemea nini..!?