Bongo movies...

Bongo movies...

Housegirl lazima awe mshamba mshamba na mabutu kichwani au kitambaa.
 
mastaa wa bongo wanafoc kuongea ngeli utaskia ...be honest go home.....
walinzi wote lazma wawe hamnazo
mtu akisimulia kitu husema ...basi ilikua hivi ...kisha anaangalia juu
 
Subtitles zinakosewa sana, matunizi ya 'your' na 'you are' ni big problem kwenye subtitle za bongo movie
 
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.

Kaaz kwel kwel
 
Kila mzimu unaoongea lazima ucheke cheke. Mfano..'ha ha ha, nasema leo ha ha ha, utanitambuaaa..ha ha ha'....mmh!
 
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.

Kaaz kwel kwel
umenikumbsha hiyo muvi jaman ina waigizaji ambao hawana vpaji
 
waigizaji wengi wa mussa banzi wakiongea utacheka yaani km maigizo ya shuleni
 
Gari linapimgonga mtu linasimama kwanza afu majeruhi analikimbilia, anaanguka chino kwa kukaa kwanza afu anajilaza!
 
Utamkuta mtu anaamka asubuhi akiwa amevaa mapete makubwa kama haya.

images
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom