maslamtz
Member
- Jun 8, 2013
- 10
- 3
me naonaga damu kama tomato
Ndio hiyohiyo..!
me naonaga damu kama tomato
Maneno ya kuongea yanazidi uwingi yale ya subtitle!
umenikumbsha hiyo muvi jaman ina waigizaji ambao hawana vpajiWanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.
Kaaz kwel kwel
waigizaji wengi wa mussa banzi wakiongea utacheka yaani km maigizo ya shuleni
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.
Kaaz kwel kwel