akipigwa ngumi anaangalia pa kuangukia kwa usalama wake asijeumia. milio ya risasi kama unawasha njiti za kibiriti
teh teh teh teh
..hivi lazima mlinzi mlangoni awe anachekesha au anafanya vituko visivyoeleweka?..sijawahi ona mlinzi ana akili timamu..
Ukiangalia hizi muvi lazma ukae na remote karibu maana sehem ya kugombana sauti inapaaa sana hadi inakera so lazma upunguze ikishavuka hapo ndo uongeze tena sauti.
m.e.m.a 'nilikuwaga' hewan kwa id ya nelly nely sijui ilitokea nini!niko hewani kwa id hiiNi katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
Mtunzi,director,producer,scrpt,editor,staring ndo huyo huyo mmoja!!
jini linaagiza redbull bar[/hQUOTE]
Hahaa we jamaa nuks redbul tena??
pamoja sana mkuuKaribu sana mkuu...
kuna jamaa anaitwa musa banzi ndo zake hizopanaboa hapo kama nn.
hahahaaaaajini linaagiza redbull bar[/hQUOTE]
Hahaa we jamaa nuks redbul tena??
Kulaleki kina ile ina itwa ngoma nzito ya mtanga mungu wangu, nliangalia kwny banda la video nusu nilie kwann nltoa hela yangu, na mzimu wa kinyonga yan hawa watu cwaelew kabisa
jambaz anavua viatu akivamia kwnye nyumba...
Sasa kama mtoto ni teja halafu wazazi wake wanajisopusopu unategemea nini..!?moja nimeiona jana mtoto mkubwa wa umri kuliko wazazi yaani haipendezi kabisa.