Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
jambazi lazima livae koti la mvua au suti na miwani,Dar na jua lote hili?afu linashika kibastola cha watoto,kinalia kama ubao umeangushwa paaa!
Hahahaa haaaa uwiii jamani nimecheka
my ribs
jambazi lazima livae koti la mvua au suti na miwani,Dar na jua lote hili?afu linashika kibastola cha watoto,kinalia kama ubao umeangushwa paaa!
halaf aliyeko jela lzm awe ameshkilia madirisha ya chuma huku anasikitika
Kwenye subtitle mgeni anaitwa new people
Jini anavuka barabara..anaangalia usalama wake kwanza.
Mzee wa visiwa vya Zimbabwe huyo. Kama si uwaziri ungekuta naye ni director au muigizaji wa bongo moviesHahahaha, ni kama Mulugo alivyosema 'dear lookers' badala ya 'dear viewers'
Wanagombana masaa kibao mtu kaelekezewa bastola kichwani. Kisha unasikia 'paaa' ..kisha unaona jeraha mguuni na mtu kafa.
Watu wamelala usiku...kwenye pazia nje mchana kweupeee!!!
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kweli mwaka mpya....
Mlinzi wa getini lazima awe komed
Ajali ya gari ndo ya ajabu gari linafunga breki afu ndo mtu anajirusha kwa juu