sehemu ya mapenzi wanafanya ngono kiukweli
Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
akipigwa ngumi anaangalia pa kuangukia kwa usalama wake asijeumia. milio ya risasi kama unawasha njiti za kibiriti
jini linaagiza redbull bar
Jini anavuka barabara..anaangalia usalama wake kwanza.
Kwa hasira anatupa simu kwny kochi au kitanda!
huku kwetu tunaita mov za mahousegil
Kahaba lazima avute sigara.....jambaz lazma livae koti refu na miwan myeus....mganga wa kienyeji lazma awe porini,mchafu,halaf anaongea kwa ukali!
Kwenye subtitle mgeni anaitwa new people
Wachawi wanakamatwa na mgambo