Jambazi linavua viatu lisichafue kapeti ahahahh
Anapigwa mtu ngumi part 1, anadondoka part II
Wapenzi utasikia wameishi pamoja kwa zaidi ya mwaka mmoja, ila siku mwanamke anafukuzwa anarushiwa nguo nje zinazoenea kwenye 'kitoto cha bag'. ..na anarushiwa nguo tu wakati unaona dressing table imeenea vipodozi.!.
Pengine unaona wapo kitandani wanajisifia juu ya nyumba yao nzuri..ghafla unaona foronya la mto lina jina la Hotel..!!
Kabla ngumi haijamfikia mlengwa tayari alishaanza kupepesuka na sauti "tii"
Halafu anachagua pa kuangukia..
hahahaa.. mkuu wewe ni muongo daah..Kwenye subtitle mgeni anaitwa new people
hahahaaa!mwanamke anamuwekea sumu mumewe kwenye kikombe cha chai anaonja kidogo aone kma imekolea then anamuwekea ila cha ajabu mume akinywa anakufa