Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
wapenzi wanakwenda beach wanakimbizana hadi tangazo la wait for part two :frusty:
hahahaha! Dah! Huwa naishia part one !
wapenzi wanakwenda beach wanakimbizana hadi tangazo la wait for part two :frusty:
Ukistuka lazima useme "whaat"
Polisi wamevaa nguo za skaut
Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
Jina la filamu la Kiingereza lakini ndani wanaongea KiswahiliMtunzi,director,producer,scrpt,editor,staring ndo huyo huyo mmoja!!
Au jambazi anapiga hodi ha ha ha
Mtu anaweza kufikiria (kuwaza) zaidi ya nusu ya movie ........ Vile vile mtu anaweza kuoneshwa anatembea tuuuuu au analia tuuuuuuu zaidi ya dakika 10 au zaidi
Hivi nani wanaotengeneza yale sponsored maigizo kama SIRI YA MTUNGI (correct me kama nimekosea title). Yale maigizo ni mazuri sana na yako very realistic n ukitizama huwezi kutoa kasoro. Bongo movies wanashindwa nini?