gentleman,
Tanzania itaendelea kua nchi ya kidemokrasia na iliyojengwa katika misingi imara ya kishria whether kuna katiba mpya au hakuna.
katiba iliyoko inajitosheleza vya kutosha licha yakwamba kuna mabadiliko machache ya kimazingira na yele yaliyo katika siasa za kimataifa.
Ni vema kujiepusha na upotoshaji, porojo na uzushi dhidi ya uhuru, uwazi na haki ya Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi iliyopo kwasasa, kwasababu itaendelea kufanya kazi zake kwa uwazi na uhuru bila kujali mashinikizo au mihemko ya mamaluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
Kwa wakati muafaka CCM itafanya mabadiliko ya katiba ikiwa inaona inafaa, na hakuna kubabaika juu ya hilo.