mzinga makasini
Member
- Apr 25, 2019
- 32
- 13
Katoliki sawa mkuuSafi sana mkuu ila mbuzi katoliki ingependeza zaid#Aluta continua@
Katoliki sawa mkuuSafi sana mkuu ila mbuzi katoliki ingependeza zaid#Aluta continua@
Ngoja nijipangeInalipa Sana kama utakuwa serious note mwanzo mgumu ko uwe na timing
2,000,000 mpaka 1,300,000 unapata tembelea Kariakoo zipo maduka ya hardware, Allumium au tembelea Sokoni kariakoo zipoGharama za mashine na zinapatikana wapi
Inalipa ukiiwezea tena sana sema itakuwa kuna mtu ametoa hela ili auze mashine za kukatia nyama siunajua nchi iko kisiasa zaidi eti magogo ni marufuku.Nimesikia magogo marufuku je kama ni kweli mbadala wake utakuwa ni nini
Fungua mkuu inalipa vizuri tu ila inahitaji usimamizi mzuri na usafi wa hali ya juu
Inalipa ukiiwezea tena sana sema itakuwa kuna mtu ametoa hela ili auze mashine za kukatia nyama siunajua nchi iko kisiasa zaidi eti magogo ni marufuku.
TrueMkuu pamoja na mashine hizo kuwepo lakini magogo ni lazima kwani hata ulaya wanatumia magogo yaliyotengezwa vizuri kwa ajili ya kukatia
Iko wap mkuu?Mkuu Kuna jamaa ana vifaa vya butcher Mzani, gogo, visu, Hocker, friza, meza, mlango frame ya alluminium, Banda la kuzia kuku kazi Ni kwako Kama unahitaji
Gogo lazima liwepoMkuu pamoja na mashine hizo kuwepo lakini magogo ni lazima kwani hata ulaya wanatumia magogo yaliyotengezwa vizuri kwa ajili ya kukatia
Asante Mkuu! Nitakutafuta kwa msaada zaidi.Nimeanza biashara hiyo mwez uliopita,mm nipo mkoani huku unachinja Ng 'ombe mzima peke yako kikubwa unakua na bucha zaidi ya moja za kuuzia,unatundika kiasi kiasi unatunza kwny friza mapema kabla haijakaa muda mrefu, unamalizia siku ya pili kuuza nyama inakua km ya leo.kikubwa usikosee kwny bei ya kununulia mnyama. Faida laki au 80 baada ya siku mbili ni kawaida