jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,114
- 35,945
Nani ana galagaja hapo vingunguti nahitaji mwenyeji tufanye biashara.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Biashara kichaa ya kuuzia nyama machinjionNani ana galagaja hapo vingunguti nahitaji mwenyeji tufanye biashara.
#MaendeleoHayanaChama
Asante, ingekuwa vizuri ungenitolea ufafanuzi,kwamba inahitajika Mf machine ya kiasi gani, fliza ,.....5 milion
Bhudagala umeacha kuimba nyimbo za asiri unataka uingie kuuza nyama?Habari waungwana!
Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.
Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo ya simu.
Asante sana!
Bhudagala umeacha kuimba nyimbo za asiri unataka uingie kuuza nyama?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ww ni muongooookooooSio tu kufika ndio shughuli zangu za kila siku.
Kilo 200 ngombe huyo si mkubwa sana hio 800,000 faida ni kubwa kuliko uhalisia aiseMfano ng'ombe mnadani ni Tsh 400,000/=
Ng'ombe labda ana wastani 200kg
bei ya nyama buchani tsh6000 kwa 1kg
6000mara 200=Tsh 1,200,000/
Endapo utauza ngombe mmoja kwa siku faida ni laki 8.