Bhudagala
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 318
- 298
Habari waungwana!
Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.
Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo ya simu.
Asante sana!
Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.
Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo ya simu.
Asante sana!