Biashara ya Bucha/duka la nyama mbichi ya ng'ombe Katoro

Bhudagala

JF-Expert Member
Sep 17, 2014
318
298
Habari waungwana!

Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.

Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo ya simu.

Asante sana!
 
Nenda kwa tahadhali sana mkuu miongoni mwa miji iliyo jaa wafanya biashara matapeli na washamba wanao jiona wajanja ni pamoja na Katoro.
Ukanda ule elimu kwa sababu ilichelewa kufika sana watu wengi sana katika biashara yao wanaamini sana katika ushirikina na sio kuboresha biashara.
Ni kweli ni biashara utayo pata fedha ila nakushauli uanpo anzisha ile biashara kwa pale Katoro usimuamini mtu mapema hata unae fahamiana nae ukisikia anaishi katoro chukua tahadhali kubwa kwa maana mimi mwenyewe ni muhanga nimewahi kutapeliwa pale milioni nane na laki sita.
Nilikua nafanya biashara ya kufyatua tofali za udongo na kuzichoma na kuuza na pia nilikua naishi nje ya katoro pale kulikua na wasimamizi.
Siku nimeenda na mteja kuuza tofali zangu nikakuta jamaa alisha ziuza na fedha kaisha kula tukaanza kuhangaishana kesi polisi mara mahakamani ambayo kimusingi nilipoteza pesa nyingine na mda
 
Nenda kwa tahadhali sana mkuu miongoni mwa miji iliyo jaa wafanya biashara matapeli na washamba wanao jiona wajanja ni pamoja na Katoro.
Ukanda ule elimu kwa sababu ilichelewa kufika sana watu wengi sana katika biashara yao wanaamini sana katika ushirikina na sio kuboresha biashara.
Ni kweli ni biashara utayo pata fedha ila nakushauli uanpo anzisha ile biashara kwa pale Katoro usimuamini mtu mapema hata unae fahamiana nae ukisikia anaishi katoro chukua tahadhali kubwa kwa maana mimi mwenyewe ni muhanga nimewahi kutapeliwa pale milioni nane na laki sita.
Nilikua nafanya biashara ya kufyatua tofali za udongo na kuzichoma na kuuza na pia nilikua naishi nje ya katoro pale kulikua na wasimamizi.
Siku nimeenda na mteja kuuza tofali zangu nikakuta jamaa alisha ziuza na fedha kaisha kula tukaanza kuhangaishana kesi polisi mara mahakamani ambayo kimusingi nilipoteza pesa nyingine na mda
ASANTEEE NDIO MAAANA NIMEKUWA MZGO
 
Habari waungwana!

Naomba msaada wa mawasiliano ya mtu anayefanya biashara ya ng'ombe au duka la nyama mbichi ya ng'ombe (bucha) Katoro sehemu yoyote ile. Kuna kitu nahitaji anisaidie.

Hata kama sio wewe, nisaidie kuniunganisha na mtu unayemfahamu. Boksi langu la meseji linasubiri namba hiyo ya simu.

Asante sana!
FB_IMG_16868357676190361.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom