Ndugu zangu,
Kutokana na kuhamishiwa kikazi mkoani katavi, sina jinsi zaidi ya kuiuza biashara yangu ya bucha ya nyama ya ngombe, iliopo eneo la bunju b mabwepande(off mabwepande road).
Bucha hii ni mpya na tulifikia mauzo ya kg 50-60 kwa siku. Inauzwa kwa bei ya millioni mbili (2 millioni...
Anaitajika Muuza bucha mwenye uzoefu wa kuuza bucha ya nyama na samaki kwenye jiji LA Dar as salaama, ikiwemo uzoefu wa kufata mzigo kwenye machinjio kama vingunguti na kwingineko.
Bucha iko maeneo ya Bunju B, mshara ni 300,000/= kwa mwezi.
Uzoefu ni muhimu kwani tuna wateja wanaoitaji aina...
Habari za Mchana wana JF,
Ndugu yenu hapa naomba info kuhusu biashara ya Nyama (Burchery), Bei wanazonunua Machinjioni inakuwa kiasi gani? wangapi wamefanikiwa through this business.
WADAU WENGINE NAOHITAJI MUONGOZO WA BIASHARA HII
MICHANGO NA MIONGOZO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.