NakuliliaTanzania
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 555
- 7
|EE bwana sio mchezo cheers
Mzungu lazima atoke manitoba aje Dsm....$laki 1 zitampagawisha
Adultery has been officially legalized in Africa
Westafr...
NOV 11, 2007 08:49 PM
Ride on guys.
Am disappointed that Richard won but i respect the decision of the people of the continent to legalize Adultery.
Ha ha ha Dah umenifanya mpaka nipaliwe na mvinyo!sasa subirini kuona JK atakavyo mparamia huyo Richie
sasa subirini kuona JK atakavyo mparamia huyo Richie
wakuu ndo baadhi ya 'maadui' wa Richard wanavosema sasa..especially from west africa...hiyo nimeitoa hapa http://www.mnet.co.za/profiles/bba/ForumListing.aspx?bid=10&tid=11442
hao jamaa nao wamezidi wizi,utapeli wao na hata BBA II wachukue?wakuu ndo baadhi ya 'maadui' wa Richard wanavosema sasa..especially from west africa...hiyo nimeitoa hapa http://www.mnet.co.za/profiles/bba/ForumListing.aspx?bid=10&tid=11442
Kudos... ! angalau jina la Tanzania limetangaza pasipo kutumia shilingi bilioni mbili..!!
Kudos... ! angalau jina la Tanzania limetangaza pasipo kutumia shilingi bilioni mbili..!!
NakuliliaTanzania,
Kumbuka: Mfamaji...?
Huu ni mchezo kama michezo mingine. Kwa ambaye hakujua unachezwaje anaweza akalaumu lakini the way ulivyotambulishwa tangu awali ulieleweka kabisa na mwenye kutaka kutoona washiriki wakioga walikuwa wanampa namna ya ku-scramble channel husika.
Nigeria katika walioulizwa maswali juu ya nani atashinda ni mmoja tu alomuunga mkono raia mwenzao. Watanzania WOTE waliohojiwa wameonesha kuridhika nae.
Ni mmoja katika Tanzania ambaye ni Salama wa Channel 5 alimponda LIVE kwenye mahojiano ya awali. Hivi angeenda yeye ingekuwaje???
Tema mate chini, Mungu apishie mbali!