The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,873
- 82,535
Uwanja gn huu.Safari hii watakuja na adjectives za Uwanja wanaojenga sio render tena.
View attachment 2939067View attachment 2939068
Uwanja gn huu.Safari hii watakuja na adjectives za Uwanja wanaojenga sio render tena.
View attachment 2939067View attachment 2939068
Haya majezi tu quality yake yana reflect umaskini ilionao ligi ya Kenya.Grassroot football at Dandora Stadium. Chapa Dimba Nairobi region.
Final to be played in Kisumu.
View attachment 2937625View attachment 2937626
View attachment 2937627View attachment 2937629
Mzee, the winner 🏆 ni Sisi mzee, kwa mkapa kwenyewe hakujai kila siku maana ya uwanja mkubwa hivyo ni nini!?Compare and contrast. 🤣 🤣
Negotiating stage.😎😎Mzee, the winner 🏆 ni Sisi mzee, kwa mkapa kwenyewe hakujai kila siku maana ya uwanja mkubwa hivyo ni nini!?
Arusha ndo capital ya track athletics hapa Tanzania, lazima tuwafikirie na wao.
Huo Talanta mmekurupuka tu!! Viwanja vyenu hujaa wakati wa siasa Tu au na Diamond akija kupiga shoo huko🤣. Unafikiri rugby ndo itajaza huo uwanja!! Kwa mashindano gani!!
Cape town green point stadium wana struggle na wao wanahost 7s series. Nyie hapo je itakuwaje???
Hata tukisema mpira, kwa mpira gani Kenya!? Bora mngeweka running track mka leverage na mbio zenu!!
Ila mmebugi mzee! Mtaniambia!
Kwann uhame unakimbia nn SASA??😆😆😆Ebu nitajie kitu kimoja positive ambacho wewe toilet boy umewai kubali kushindwa na Kenya humu nihame huu uzi kabisa. Yours is a case of projecting.
Maumivu huanza polepole😎😎😎Negotiating stage.😎😎
While Dar is a slum port is struggling with congestion, Mombasa Port is winning.
View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1770013705587020277?s=20
Kuweweseka kwa nyang'au😁Will call 😆😆😆 wanasiasa buana
Naona na majengo ya Westland yanaonekana au nasema urongoo😆😆😆Parklands
Usiwe na wasi, mbona kwenye SGR vituo vimetoka vile vile!Ila I hope hawatatuangusha hao wanaojenga, naweza sema awamu ambayo nilikua na HIGH hopes ya miundombinu ni ya JPM.
Tunajengwa BRT kila Kona ya mji SASA hvi
BRT phase 1 completed
BRT phase 2 .....95+%
BRT phase 3......35+%
BRT phase 4 under conStruction
Ww utatuambia nn hapo 🤣🤣🤣🤣🤣
BRT phase 3
View: https://youtu.be/kDuQmPM5epg?si=mFJi99ykhY9H47GY
BRT phase 4
View: https://youtu.be/xbrGxEkL_0U?si=sV-MtWm4XnlrPpBZ
Ulitaka yawekwe pazia ndio yasionekane wewe kuharaboy?Naona na majengo ya Westland yanaonekana au nasema urongoo😆😆😆
Inakokotwa na punda hii!Lamu ambulance 😆😆😆 alaf wako hapa kupiga kelele eti wafananishwe na Singapore
View attachment 2939081View attachment 2939082
Onesha hata picha moja wakishika jembe kuonyesha ujenzi umeanzaDaily dose...............
Wacha hasira SASA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulitaka yawekwe pazia ndio yasionekane wewe kuharaboy?
Sio mimi mzee, ni nyie, mngeweka running track hapo Talanta mngeweza pigana mkapata haya IAAF Diamond league series. Yakwamza Africa. Na mngeweza maana mngetumia leverage ya wakimbianaji wenu na mahusiano mazuri mliokuwa nayo na IAAF.Negotiating stage.😎😎
Hehehehe, ugua pole. 🤣 🤣 🤣Onesha hata picha moja wakishika jembe kuonyesha ujenzi umeanza