Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So hivyo viti havihamishiki ama vimechongewa hapo toka 1969? 🤣🤣🤣
Kuna kitu kinaitwa preserved architecture. KICC ni jengo ambalo limepata award nyingi kwa design yake ya kipekee. Ni miongoni mwa majengo ya Nairobi ambayo ni historical sites ambayo hayawezi bomolewa. Ukimodify hili jengo, utaaribu design yake ya mwanzo ndio maana lipo jinsi lilivyo na bado ndio the most respected conference center in East Africa na pia one of the best in Africa. Hivyo viti vipo jinsi vilivyo sababu tumetaka viwe hivo. Najua nyinyi watu wa kushobokea blue glass buildings hamwezi elewa maana ya preserved architecture.
 
Kuna kitu kinaitwa preserved architecture. KICC ni jengo ambalo limepata award nyingi kwa design yake ya kipekee. Ni miongoni mwa majengo ya Nairobi ambayo ni historical sites ambayo hayawezi bomolewa. Ukimodify hili jengo, utaaribu design yake ya mwanzo ndio maana lipo jinsi lilivyo na bado ndio the most respected conference center in East Africa na pia one of the best in Africa. Hivyo viti vipo jinsi vilivyo sababu tumetaka viwe hivo. Najua nyinyi watu wa kushobokea blue glass buildings hamwezi elewa maana ya preserved architecture.
Waambie KICC is a 28 floor building with every floor having a Conference hall.

Another KICC setup that no Tanzanian conference hall can match.

1714400356742.jpeg

1714400383932.jpeg
 
Kuna kitu kinaitwa preserved architecture. KICC ni jengo ambalo limepata award nyingi kwa design yake ya kipekee. Ni miongoni mwa majengo ya Nairobi ambayo ni historical sites ambayo hayawezi bomolewa. Ukimodify hili jengo, utaaribu design yake ya mwanzo ndio maana lipo jinsi lilivyo na bado ndio the most respected conference center in East Africa na pia one of the best in Africa. Hivyo viti vipo jinsi vilivyo sababu tumetaka viwe hivo. Najua nyinyi watu wa kushobokea blue glass buildings hamwezi elewa maana ya preserved architecture.
Myopic thinking at its best 🤣🤣🤣
 
Wako humu wanajisifu kisa Rais wao yuko Nairobi?
Nimeona Yule jamaa mchafu NDINDA akipost wengine sijui wale ni akina nani? Vile wamefurahi kuona viongozi wao Nairobi ungedhani wako UK. Na nikisema Nairobi ni kama London kwa watanzania wanaona vibaya😂😂
 
Nimeona Yule jamaa mchafu NDINDA akipost wengine sijui wale ni akina nani? Vile wamefurahi kuona viongozi wao Nairobi ungedhani wako UK. Na nikisema Nairobi ni kama London kwa watanzania wanaona vibaya😂😂
Yani wamemfuatilia kama upuzi. Video Kila mahali akishuka JKIA. Meanwhile Ruto akiwa huko hata Mimi nimejulia kwa hii thread.😂😂😂
 
Tunaingia kwenye ufugaji wa Nyuki. Kila kona tanzania inawika tu

WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA RAIS WA APIMONDIA KAMISHENI YA AFRIKA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Apimondia Kamisheni ya Afrika, Bw. David Mukomana kwa lengo la kujadili maandalizi ya mkutano wa 50 wa Dunia wa Ufugaji Nyuki (APIMONDIA) na kuweka mikakati ya kufanikisha mkutano huo utakaofanyika nchini mwaka 2027.

1714401433490.png
 
Back
Top Bottom