Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,405
- 5,228
ni lini mmeanza kutupangia cha kufanya sisi ndio hupanga kama tulivyompangia uganda bomba la mafuta lipite wapi. Na sasa mafuta pitisha tanga unapigwa unaona kastuka au ni namna gani.Alafu yule chokoraa wa kuokota ATM slip anakasirika juu nimesema hiyo stadium Iko na running track which they don't know how to use๐๐๐