Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baadhi ya wasanii Tanzania wakiwa na followers wengi Instagram🇹🇿
Screenshots_2024-02-29-20-19-12.png
Screenshots_2024-02-29-20-19-29.png
Screenshots_2024-02-29-20-19-44.png
Screenshots_2024-02-29-20-20-02.png
Screenshots_2024-02-29-20-20-20.png
Screenshots_2024-02-29-20-20-38.png
Screenshots_2024-02-29-20-20-53.png
Screenshots_2024-02-29-20-21-18.png
Screenshots_2024-02-29-20-21-35.png
Screenshots_2024-02-29-20-21-59.png
Screenshots_2024-02-29-20-23-46.png
Screenshots_2024-02-29-20-24-07.png
Screenshots_2024-02-29-20-24-28.png
Screenshots_2024-02-29-20-24-57.png
Screenshots_2024-02-29-20-25-20.png
Screenshots_2024-02-29-20-25-51.png
Screenshots_2024-02-29-20-26-36.png
 
UNA UTINDI WA UBONGO.
Halafu kwa kutaja Ferri umejichimbia kaburi mwenyewe.
PALE FERI KUVUKA ULE UMBALI AMBAO HATA MITA 500 HAZIJAFIKA INACHUKUA NUSU SAA NZIMA MIMI NAVUKAGA.
SASA PIGIA MAHESABU KWA KILOMETA 30 MTAVUKA KWA MASAA MANGAPI??
PIA USIFANANISHE SHUGHULI ZA DAR NA MWANZA,WATU WA KIGAMBONI NA KIVUKONI WENGI WA MAOFISINI NA WAFANYABIASHARA,WENGI WAO UHAKIKA WA MSHAHARA UPO.
Watu wa kigogo Busisi wengi wao asipoenda kujishughulisha MKONO HAUENDI KINYWANI HIYO NDIO MAANA HALISI YA HAND TO MOUTH.
Yani bila kazi ya kila siku mkono hauendi kinywani.
USIKUTE NABISHANA NA WEWE HATA MAANA YA HAND TO MOUTH HUKUITAMBUA.
Narudia tena kama Kigamboni kwenda Kivukoni umbali wa nusu kilometa kivuko hutumia nusu saa je umbali wa kilometa 30+ utatumia masaa mangapi??
We huoni utakua unachelewesha uzalishaji na shughuli za watu za kiuchumi???
Wewe bwege nimevuka kigongo Busisi na ferry kote nakufahamu.

Kule Kigongo Busisi ni max.ya saa 1 na ukitumia Kamanga ferry ni max.ya dk.45.

Hiyo ni Kwa kutumia hayo magari yaliyochoka ya Temesa.

Ndio maana nikakwambia ningekuwa Mimi ningenunua ferry za Kisasa na nzuri ndio mvukie huku mapesa mengine nikisafisha vumbi la Slums za Mwanza.

Nyie wenye local reasoning hamuwezi kuelewa haya mambo,sikiliza wenye akili za kiuchumi kama zangu wakiwapa shule na kuwashangaa hapa 👇

View: https://youtu.be/P_v7srOk7QY?si=KhNEkhpNkEFtUOSH
 
Back
Top Bottom