Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Wazalendo ni wakazi wa asili wa nord kivu,goma,sake,bunagana n.k,rebel ni hao m23 warwanda watutsi walioingia congo kipindi cha habyarimana regime mobutu akawaacha free wakazaana ndio hao wanaodai sasa hivi na wao ni wacongo wa kuzaliwa,kule kigoma kuna refugee camp ya warundi toka miaka ya 90 kama ilivyo kagera,wale washazaana na kujukuu iwapo wangeachiwa kama east congo saa hizi wangekua wanacomplain ni wa TZWapo, ndo wanaitwa Wazalendo au Rebel