Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapo, ndo wanaitwa Wazalendo au Rebel
Wazalendo ni wakazi wa asili wa nord kivu,goma,sake,bunagana n.k,rebel ni hao m23 warwanda watutsi walioingia congo kipindi cha habyarimana regime mobutu akawaacha free wakazaana ndio hao wanaodai sasa hivi na wao ni wacongo wa kuzaliwa,kule kigoma kuna refugee camp ya warundi toka miaka ya 90 kama ilivyo kagera,wale washazaana na kujukuu iwapo wangeachiwa kama east congo saa hizi wangekua wanacomplain ni wa TZ
 
Tz Iko na consistency gani in football?😂😂🤣🤣🤣.

Ama unaongelea consistency ya not winning a match in AFCON history and not winning a match against Kenya in normal time?😂
Not a single win in the history of AFCON. Now that's consistency 😂
 
Kilimani

1708057346774.png


1708057368188.png


1708057392221.png
 
You are a Mama Ngina punching bag
Huyo hanaga analojua.
Hata kumjibu ni mzigo. Ajiulize Afcon TZ iliingiaje bila kushinda mechi za nyuma??
Consistency ni ile kuendelea na kuilinda performance kila uchwao.
Kitu ambacho wao wameshindwa wamedrop sie tume climb.
Yani sie tuna progress wao wana degrade. Ndani ya miaka 3 tumepunguza gap la nafasi 30+ na kubaki nafasi 8.
Sie ni bora bhana
 
Huyo hanaga analojua.
Hata kumjibu ni mzigo. Ajiulize Afcon TZ iliingiaje bila kushinda mechi za nyuma??
Consistency ni ile kuendelea na kuilinda performance kila uchwao.
Kitu ambacho wao wameshindwa wamedrop sie tume climb.
Yani sie tuna progress wao wana degrade. Ndani ya miaka 3 tumepunguza gap la nafasi 30+ na kubaki nafasi 8.
Sie ni bora bhana
All this is bullshit you are talking. As long as we are on top of you in the ranking I have no time to read this nonsense
 
Back
Top Bottom