Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,286
- 5,867
Nyingine c hii hapa ya Tanzania View attachment 2012114
Makomunist wa China ndio mungu wenu kwa sasa na sio USAMakomunisti TZ na DPRK nyie hamuangalii uchumi wala pesa. Makapitolisti Kenya na US tunatilia maanani maswala ya uchumi.
Hao maskini wetu hawafiki watu 28 million😂😂😂 Maskini wenu wanaishi humu 👇View attachment 2014142View attachment 2014144ni uongo au ni kweli.? Maskini wa NAIROBI wanaishi maisha mabovu zaidi ni hatari.. au hapa sio NAIROBI.?
Kijana wa Tandale, you can yap all you want but that won't change the fact that there are more people living in extreme poverty in Tanzania than in Kenya. Nishakuambia kwamba kama hiyo ripoti ya WB inakuuma sana ama hukubaliani nayo, andikia WB barua ya malalamishi, pengine watatoa Tanzania kwenye hiyo list ya ufukara na waweke Kenya insteadHebu mwenyewe tu jiulize ikiwa NAIROBI Iko na slums zaidi ya kumi na watu wake wanaishi maisha haya 👇View attachment 2014158View attachment 2014159na ukumbuke hapa ni mjini kuna mishe kibao za kuingiza kipato, vipi maskini wa vijijini huko watakua na hali gani since Ardhi yenu haina rutuba, hakuna mishe mingi za kukupatia kipato .?
Hebu tupatie ripoti ya TPA ya mwaka huu kuhusu bandari ya Dar tulinganishe na ya Mombasa. Hapo ndio tutajua mbivu na mbichi. Hapa tunatumia data, sio maneno na fikra za mtu binafsiNi kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?
Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Hapo kwa middle-class hawapendi kusikia sana hawa vilaza
Kenya imports mostly industrial machinery and transportation equipment, petroleum products, motor vehicles, iron and steel, resins and plastics. These are Kenya's leading import items.hapo mkuu umembana korodani huyo nyang'au ila inawwzekana wakawa wanategemea vitu vingi kutoka nje kwasababu uzalishaji wao wa ndani ni hafifu
si kawaida watu wa ujamaa yani Socialist and Communist wo ujuanangaHahaha. By the way TZ ilikuwa na very close friendship na North Korea zamani.
Nicxie msela, tumia akili kidogo tu, mzungu asikuwekee mipaka ya kufikiri wew mwehu, extreme poverty iko hapo NAIROBI kwenye slums, watu maskini zaidi ni hao slum dwellers watu wenye wanaishi kwenye nyumba za mabati, baridi, yani sio mvua sio jua vyote haviwaachi salama, hao ndio ni watu maskini zaidi ukilinganisha na maskini waliopo DSM .. unataka kubishana na ukweli unaonekana kwa macho tu, hauhitaji hata elimu ya Darasa la nne, ni kwa kuona tu .. Tz huku mtu anaeitwa maskini kijijini huko kwa mfano ni mkulima au mfugaji, kwenu kenya maeneo mengi hayana hata rutuba kwahiyo maskini wa huko ni hamjiwezi kabisa.. tz huku maskini hawafi njaa babu .. sasa wapi kuko na extreme poverty.?Kijana wa Tandale, you can yap all you want but that won't change the fact that there are more people living in extreme poverty in Tanzania than in Kenya. Nishakuambia kwamba kama hiyo ripoti ya WB inakuuma sana ama hukubaliani nayo, andikia WB barua ya malalamishi, pengine watatoa Tanzania kwenye hiyo list ya ufukara na waweke Kenya instead
The truth that they don't want to hear. Yani ports zao zote combined bado hazifikii Mombasa port alone! Na tukiwaambia hatuko level moja hawasikiiDar port 15m tonnes/ year
Mombasa port 34m tonnes/ year
Facts scream loud bongolala. There ain't nothing you gon do about it. JKIA has always been ahead of JNIA even during pre-covid times and it will always be so don't go looking for excuses.Uduwanzi wanao tena si kidogo!!!walijifungia wakati wa COVID ila utaskia Jomo Kenyatta ilihudumia abiria wengi kuliko Julius Nyerere miaka miwili iliyopita!!!! Waacheni waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe!!!
Kwa sababu you are the closest neighbor wa Ethiopia ambaye hana mapigano kwa sasa.Kwa nini hakuenda South Sudan au Somalia au hata Tanzania? Hadhi ya Kenya iko juu bro. Kubali ukatae Kenya iko ligi ya juu na hata Wazungu wanajua.
Aren't you the same guys wenye husema hapa kila siku kwamba mzungu si mjinga aone slum Nairobi na asione Dar? Now that the same mzungu anasema karibia nusu ya watanzania wanaishi in EXTREME poverty, maneno yake sasa yamekuwa ya uongo all of a sudden, na hayafai kuaminiwa! Why is it that something can only be true if it subscribes to your line of thought? That anything that goes against it isn't true? Why do you people feel that you have a monopoly on the truth?Nicxie msela, tumia akili kidogo tu, mzungu asikuwekee mipaka ya kufikiri wew mwehu, extreme poverty iko hapo NAIROBI kwenye slums, watu maskini zaidi ni hao slum dwellers watu wenye wanaishi kwenye nyumba za mabati, baridi, yani sio mvua sio jua vyote haviwaachi salama, hao ndio ni watu maskini zaidi ukilinganisha na maskini waliopo DSM .. unataka kubishana na ukweli unaonekana kwa macho tu, hauhitaji hata elimu ya Darasa la nne, ni kwa kuona tu .. Tz huku mtu anaeitwa maskini kijijini huko kwa mfano ni mkulima au mfugaji, kwenu kenya maeneo mengi hayana hata rutuba kwahiyo maskini wa huko ni hamjiwezi kabisa.. tz huku maskini hawafi njaa babu .. sasa wapi kuko na extreme poverty.?
Kenya mashinani ndio hamugusi mzee, kule usijaribu kabisaHebu mwenyewe tu jiulize ikiwa NAIROBI Iko na slums zaidi ya kumi na watu wake wanaishi maisha haya View attachment 2014158View attachment 2014159na ukumbuke hapa ni mjini kuna mishe kibao za kuingiza kipato, vipi maskini wa vijijini huko watakua na hali gani since Ardhi yenu haina rutuba, hakuna mishe mingi za kukupatia kipato .?
Bwahaha!!kitu km ni dwarf tu, km umeumwa peleka malalamishi kwenye mamlaka husikaLeta picha ya daraja refu kama hilo kutoka kunya land, for your information, Tanzanite bridge ndio daraja refu zaidi Africa mashariki kwasasa na record yake itavunjwa na KIgongo busisi (Magufuli bridge) Mwanza after it's accomplished
Mkuu usijefanya watu wapigane huko kwa Development ya Tz.