Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumewashinda kwenye maswala ya uchumi. Inabidi sie tuwe baba yenu. Tunapokea wageni kwa niaba yenu na Uganda. Kwenye nyumba baba ndiye huwa anapokea wageni sio watoto.
Sisi tumepokea wageni wengi sana kiserikali including mtoto wenu Obama!!!Na kuna mgeni mkubwa mwingine kutoka US anakuja for your information!!!Pia ni ujinga kuringia vitu hivi!!!.Let us build our economy kwa kutegemeana ndani ya East na Central Africa!!!Na mkubali kutuachia kiti cha kuendesha safari hii!!!Hata nyie mtanufaika pia kwa kiasi kikubwa amiin!!!
 
Sisi tumepokea wageni wengi sana kiserikali including mtoto wenu Obama!!!Na kuna mgeni mkubwa mwingine kutoka US anakuja for your information!!!Pia ni ujinga kuringia vitu hivi!!!.Let us build our economy kwa kutegemeana ndani ya East na Central Africa!!!Na mkubali kutuachia kiti cha kuendesha safari hii!!!Hata nyie mtanufaika pia kwa kiasi kikubwa amiin!!!
Sisi tunaweza kuisemea East Africa na sio East Africa tu sisi tuna uwezo wa kuisemea Africa!!!Na hatujaanza leo!!!You coward!!!
 
Sasa unapinga nini na wakati hilo daraja mumepigwa..we unayajua madraja kweli au ndio na we unaropoka tu
😂😂 Leta picha ya daraja refu kama hilo kutoka kunya land, for your information, Tanzanite bridge ndio daraja refu zaidi Africa mashariki kwasasa na record yake itavunjwa na KIgongo busisi (Magufuli bridge) Mwanza after it's accomplished
 
Sisi tunaweza kuisemea East Africa na sio East Africa tu sisi tuna uwezo wa kuisemea Africa!!!Na hatujaanza leo!!!You coward!!!
Mtaisemea EA kwa lugha gani na hamjui Kiingereza? Au unadhani wazungu wanakifahamu kiswahili?
 
Mtaisemea EA kwa lugha gani na hamjui Kiingereza? Au unadhani wazungu wanakifahamu kiswahili?
Uweshawahi kuudhuria mikutano ya kimataifa especially Africa kaka!!!Kuna wakalimani this side and that side!!!unavaa vitu maskioni chagua lugha unayotaka you will be there!!!hii si tatizo kabisa trust me been there!!!!Na si mara moja!!!!.Kuna wakongo pia french muda wote!!!!
 
images (37).jpeg
images (36).jpeg
 
Nataka unijibu, watu wenu wanaishi kwenye nyumba za mabati, kweli au sio kweli.?
Huenda watu wetu wanaishi kwenye nyumba za mabati, lakini hali yetu ya umasikini haijafika hapa mlipo. Tatu bora Africa hatupo
PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
Huenda watu wetu wanaishi kwenye nyumba za mabati, lakini hali yetu ya umasikini haijafika hapa mlipo. Tatu bora Africa hatupoView attachment 2014123
Unajiskia lakini ulivyo mwehu.? 😂😂😂 Watu wanaishi kwenye nyumba za mabati alafu eti wako na nafuu kuliko watu wenye wanaishi kwenye nyumba zao za blocks , you must be fucking crazy
 
Unajiskia lakini ulivyo mwehu.? 😂😂😂 Watu wanaishi kwenye nyumba za mabati alafu eti wako na nafuu kuliko watu wenye wanaishi kwenye nyumba zao za blocks , you must be fucking crazy
Peleka malalamishi yako kuhusu hiyo ripoti WB kijana wa Tandale
 
Wakuu mnaona hii serikali inavyoturudisha nyuma asee.
Mmae zao.

Umeme hakuna, Dar Wanaifanya kama Nairobi shida ya maji.

Huu ujinga wa kuweka watu wa communication kwenye wizara muhimu acha tu.

Tumerudi hatua 10. Hata hii battles soon comment za zamani zitageuka sumu.
 
Peleka malalamishi yako kuhusu hiyo ripoti WB kijana wa Tandale
Hebu mwenyewe tu jiulize ikiwa NAIROBI Iko na slums zaidi ya kumi na watu wake wanaishi maisha haya 👇
3003037_images_7.jpeg
3003038_images_6.jpeg
na ukumbuke hapa ni mjini kuna mishe kibao za kuingiza kipato, vipi maskini wa vijijini huko watakua na hali gani since Ardhi yenu haina rutuba, hakuna mishe mingi za kukupatia kipato .?
 
Back
Top Bottom