Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna badhi ya nchi zinatoa religious or medical exemptions, hivyo msafiri anachotakiwa kufanya ni kuonesha negative covid test (24hrs before boarding).

Marekani, watu wengi tuu wamegoma (karibu 80mil) na ndiyo sababu ya kuanzisha ushurutishwaji.

Tanzania watu wameishi na Corona kwa zaidi ya mwaka bila kuwa na outbreak kama za nchi nyingine, kuna sababu gani ya kulazimisha wakati uhalisia ulishaonekana kuwa si tishio?

Swali la kizushi.
Unafikiri ni nini kilichoifanya Uingereza ghafla kuiweka Tz kwenye "safe" list ya nchi zinazoruhusiwa raia wake kwenda Uingereza, wakati 99% ya Watanzania hawajachanja. Tena baada ya Tony Blair kuwa "mshauri" wa masuala ya Uviko?
Ninaomba ushahidi kuonyesha kwamba wamarekani 80M wamegomea chanjo.

Tanzania zaidi ya watu 700 wamekufa wakiwemo wataalamu na wasomi tuliowasomesha kwa pesa za serikali, uchumi na biashara nyingi zimeparaganyika na watu kupoteza ajira, vipi bado unasema Corona sio tatizo kubwa?, au hadi ndugu yako wa damu atakapofariki ndio utajua kwamba hili tatizo ni real?,

Uingereza imetuweka kwenye list ya nchi zinazoruhusiwa raia wake kuingia Uingereza baada ya Tanzania kukubali kutumia chanjo, kumbuka kwamba hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kuingia Uingereza bila kuonyesha certificate ya chanjo
 
Wewe mpuuzi ,watu 700 kufa bila ya kufuata mbinu za kujikinga ni kidogo sana kwa hiyo hesabu ndiyo maana tunaonekana wapumbavu hata na wazungu kwa kukimbilia chanjo maana magonjwa ya kawaida hapa tz yanaua watu kwa malaki kwa mwaka mmoja tu mfano malaria kwa week wanakufa watu wengi kuzidi hao
Watu 700 kifariki ni kidogo?, kweli maisha ya waafrika hayana thamani, au kwasababu mabwana wakubwa wa kizungu wamekufa wengi basi unadhani ni halali watanzania 700 kufa?, Samahani ila hayo ni mawazo ya malofa kusema watu 700 ni kidogo, ni matumaini yangu wewe sio lofa ila umeteleza
 
Ninaomba ushahidi kuonyesha kwamba wamarekani 80M wamegomea chanjo.
Vaccination rate.png

Utaona hapo waliochanja (fully) ni milioni 189 na waliochanja angalau dozi moja ni 66% (217m). US population ni milioni 329, hivyo wasiochanjwa kabisa ni 329 - 217 = 112m.
Tanzania zaidi ya watu 700 wamekufa wakiwemo wataalamu na wasomi tuliowasomesha kwa pesa za serikali, uchumi na biashara nyingi zimeparaganyika na watu kupoteza ajira, vipi bado unasema Corona sio tatizo kubwa?, au hadi ndugu yako wa damu atakapofariki ndio utajua kwamba hili tatizo ni real?,
Hiyo ni 0.0012% ya population. Je unafahamu kuwa malaria au Pneumonia inauwa wangapi kwa mwaka?
Uingereza imetuweka kwenye list ya nchi zinazoruhusiwa raia wake kuingia Uingereza baada ya Tanzania kukubali kutumia chanjo, kumbuka kwamba hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kuingia Uingereza bila kuonyesha certificate ya chanjo
Colombia vaccination rate (35% fully vaccinated) ni mara 30 ya Tanzania lakini wananchi wao hawaruhusiwi kukanyaga UK. Dominican Republic (nao hawaruhusiwi kuingia UK) wao waliochanja ni 46%, how do you explain that?
 
View attachment 1980136
Utaona hapo waliochanja (fully) ni milioni 189 na waliochanja angalau dozi moja ni 66% (217m). US population ni milioni 329, hivyo wasiochanywa kabisa ni 329 - 217 = 112m.

Hiyo ni 0.0012% ya pupulation ambayo ni stastically insignificant. Je malaria inauwa wangapi kwa mwaka?

Colombia vaccination rate (35% fully vaccinated) ni mara 30 ya Tanzania lakini wananchi wao hawaruhusiwi kukanyaka Uk, Dominican Republica (nao hawaruhusiwi kuingia UK) wao waliochanja ni 46%, what's your take on that?
kwani watoto nao wanachanja? chini ya miaka 12 hawachanji! Ila in 3 weeks time nao wataanza! 5-12 years old!

US officials set stage for vaccination campaign for younger children


Jessica Glenza16. October 2021
To help states and cities prepare, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) this week sent out a seven-page document with guidance on how to set up expanded vaccination programs.

US health officials are setting the stage for a national Covid-19 vaccination campaign for younger children, inviting state officials to order doses before the shots are authorized.

Warnock Vaccine Site Tour, Delta Flight Museum, Atlanta, USA - 08 Mar 2021<br>Mandatory Credit: Photo by Nathan Posner/REX/Shutterstock (11791515k) Nurses prepare vials and shots of the Pfizer Covid-19 vaccine for injection at the Delta Flight Museum on March 8, 2021 in Atlanta, Georgia. Warnock Vaccine Site Tour, Delta Flight Museum, Atlanta, USA - 08 Mar 2021
US throws out millions of doses of Covid vaccine as world goes wanting
Read more

Pfizer’s coronavirus vaccine is currently being given to people as young as 12 in the US. Over the next three weeks, federal officials plan to discuss making smaller-dose versions available to the nation’s 28 million children between the ages of five and 11.

That would end a 10-month wait for many families who are anxiously awaiting the approval of vaccines for younger children.

To help states and cities prepare, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) this week sent out a seven-page document with guidance on how to set up expanded vaccination programs.

It notes pharmacies in every state can give Covid-19 shots to children, but that only doses prepared and packaged specifically for children are to be used for those under 12.

It doesn’t speak to some thornier questions, however, such as how much school-based clinics should be relied on or whether children should be required to get then shots as a condition of school attendance.

Those questions will have to be worked out in each state and city. The guidance comes as communities are gearing up for a new phase in the campaign to vaccinate as many people as possible against a virus that has killed more than 720,000 in the US.

The disease has been most dangerous to older adults, who have higher rates of death and hospitalization than children. But some children are at risk for severe illness, and more than 540 US children have died from Covid-19, according to the American Academy of Pediatrics (AAP).

Just as important, health officials believe vaccinating children will reduce virus spread to vulnerable adults.

Pfizer and its German partner BioNTech are furthest along in researching use of their vaccine in younger children. They say a two-dose vaccine series one-third as potent as the version giving to people over 12 years old is safe and effective in five- to 11-year-olds.

An independent expert panel of experts who advise the Food and Drug Administration (FDA) is scheduled to debate the the safety and efficacy of the vaccines at a meeting in late October. Their recommendation will guide whether the FDA decides to allow the vaccines for children to be used on an emergency basis. The FDA usually takes the advice of its expert panels.

If the FDA authorizes the kid-size doses, a different expert panel of independent experts who advise the CDC will debate clinical questions in early November, and then offer a recommendation to the CDC.

It’s not yet clear how many people will get shots for their younger children right away, said Dr. Marcus Plescia, chief medical officer of the Association of State and Territorial Health Officials.
“We’re going to have potentially a very busy, and perhaps modestly chaotic time” initially, he said. But there probably will not be the kind of heavy demand seen when shots first became available for adults, he added.

Polls suggest about one-third of parents whose children are in this age group said they would get their child vaccinated “right away,” according to a Kaiser Family Foundation tracking poll.

Authorities may then face vaccine hesitant parents, some of whom may not be vaccinated themselves.

Further, the approval of vaccines for young children could open a new debate on whether schools should mandate vaccines for young children. Some major school districts, such as in Los Angeles, have already done so for children older than 12.

Nearly 77% of people older than 12 are vaccinated in the US, according to the CDC. Comparatively, 95.5% of people in the highest risk age group, those older than 65, are vaccinated.

New CDC guidance calls for shots to be given at the offices of pediatricians and family-practice doctors, and at pharmacies, rural health clinics and federally-qualified health centers.

The CDC discussed the option of vaccination clinics at schools, but stopped short of endorsing that as a primary way to get children vaccinated. School clinics are logistically appealing, but many parents may not be comfortable with the idea, Plescia said.

The guidance also warns health care providers to only use doses that have been prepared especially for children, and not try to fraction adult doses, Plescia noted.

CDC guidance said immunization program managers can start ordering doses Wednesday, though vials wouldn’t be delivered until the FDA and CDC sign off. The plan to vaccinate young children from Covid-19 is distinct from the initial vaccine roll-out, which initially focused on sending vaccines to hospitals and pharmacies.

Consequently, some office-based physicians felt left out.

Dr Jesse Hackell registered early with New York state to be able to administer the shots to teens.

He said his office, located 25 miles north of New York City, didn’t receive doses for that until May.

But Hackell said the CDC has reassured pediatricians that once authorization happens for 5- to-11-year-olds, the process will go more smoothly and pediatricians’ offices will be able to get shipments quickly.

Dr Richard Besser called on the government to do more to address racial and economic disparities that might emerge in the push to vaccinate younger children. For example, children may not get shots if parents can’t get time off from work to bring them in.

“It’s really important that we recognize the barriers to vaccinations,” said Besser, chief executive of the Robert Wood Johnson Foundation and former acting director of the CDC.

AP medical writer Lindsey Tanner contributed to this report from Three Oaks, Michigan

 
JNIA terminal two kufanyiwa ukarabati soon na wafaransa ... Yo wajuzi wa mambo hii imekaaje kitaalamu
Wafaransa ndiyo waliojenga terminal II kipindi cha Mwalimu (kama sikosei ilikuwa 1983 -1985), si ajabu ni asante tuu ya ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda. Kama unakumbuka Prof. Kabudi alipiga piga misele Ufaransa akiwa waziri wa mambo ya nje.
 
Ninaomba ushahidi kuonyesha kwamba wamarekani 80M wamegomea chanjo.

Tanzania zaidi ya watu 700 wamekufa wakiwemo wataalamu na wasomi tuliowasomesha kwa pesa za serikali, uchumi na biashara nyingi zimeparaganyika na watu kupoteza ajira, vipi bado unasema Corona sio tatizo kubwa?, au hadi ndugu yako wa damu atakapofariki ndio utajua kwamba hili tatizo ni real?,

Uingereza imetuweka kwenye list ya nchi zinazoruhusiwa raia wake kuingia Uingereza baada ya Tanzania kukubali kutumia chanjo, kumbuka kwamba hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kuingia Uingereza bila kuonyesha certificate ya chanjo

Acha uongo. South Africa wanatumia chanjo from day one na tulikua grouo moja kupigwa ban huko UK.

Sisi tumefunguliwa, wao je? Na idadi ya waliochanja ni kubwa mno kuliko yetu.
 
Danganyika haikufanya lockdown na bado wanatembeza bakuli kuomba misaada wakiwa mbele ya camera za TV mbwembwe kibao yaani comedy tuu, ninamlaani sana aliyetoa wazo la kuanzisha chama cha kijani CCM
Screenshot_20211017-112439.jpg
 
View attachment 1980136
Utaona hapo waliochanja (fully) ni milioni 189 na waliochanja angalau dozi moja ni 66% (217m). US population ni milioni 329, hivyo wasiochanywa kabisa ni 329 - 217 = 112m.

Hiyo ni 0.0012% ya pupulation. Je unafahamu kuwa malaria au Pneumonia inauwa wangapi kwa mwaka?

Colombia vaccination rate (35% fully vaccinated) ni mara 30 ya Tanzania lakini wananchi wao hawaruhusiwi kukanyaka Uk. Dominican Republic (nao hawaruhusiwi kuingia UK) wao waliochanja ni 46%, how do you explain that?
Coverage rate hainamaana kwamba ambao hawajachanja wamegoma kaka, kumbuka kuchanja nchi nzima ni zoezi linaloweza kuchukua zaidi ya mwaka mmoja, hii inatokana na upatikanaji wa chanjo na mipango ya nchi husika.

Sasa hivi duniani kote nchi zipo katika zoezi hilo la chanjo, viwanda vya kutengeneza hizi chanjo zilizokubalika havizidi 5 duniani kote, hivyo havina uwezo wa kutosheleza mahitaji ya dunia nzima ndani ya muda mfupi, hiyo ndio sababu kubwa ya kuona coverage rate bado ipo chini, kwa mfano Kenya ambako hawajagomea hiyo chanjo na wanahitaji Sana kuchanjwa lakini wsliochanjwa hawazidi 5M, Je unataka kutuaminisha kwamba wakenya wote wamegoma?
 
View attachment 1980136
Utaona hapo waliochanja (fully) ni milioni 189 na waliochanja angalau dozi moja ni 66% (217m). US population ni milioni 329, hivyo wasiochanywa kabisa ni 329 - 217 = 112m.

Hiyo ni 0.0012% ya pupulation. Je unafahamu kuwa malaria au Pneumonia inauwa wangapi kwa mwaka?

Colombia vaccination rate (35% fully vaccinated) ni mara 30 ya Tanzania lakini wananchi wao hawaruhusiwi kukanyaka Uk. Dominican Republic (nao hawaruhusiwi kuingia UK) wao waliochanja ni 46%, how do you explain that?
Kuhusu Colombia au Dominica Republic, ulipaswa kujiuliza ni kwanini wamezuiliwa wakati nchi Kama Italy ambazo zilikumbwa na kuathiriwa zaidi na Corona duniani pamoja na USA wao waruhusiwe kuingia UK?
 
mzee, Magufuli alikuwa a poisonous chalice to our togetherness, u drink his charm concortion u die of ignorance and stupidiy, he was very parochial and actually alikuwa rediculated all over the globe na theory zake za Corona! In short very controversial and devisive and incitive, he could talk of graft with all jugular vein out! Then tomorrow he retreats home and initiates a similar project in his backyard Chato with all the signs of serious tribalism and impunity! Yaani was never reliable! msome vizuri utagundua ninachosema! Anaweza kusema mradi huu ni wa rushwa na kelele nyingi kesho unasikia mradi kama huohuo unajengwa kijijini kwake! Sabaya kapewa 30 zake kwa ujinga wa kutukuza Magufuli saahii hayupo kumkingia kifua!

CC: malaya wa Kisiasa Baba na mama yake mzazi
Mkuu tuanze kumchambua Nelson Mandela mapungufu yake
1)Alishindwa kabisa kuwasaidia watu weusi kiuchumi
2)Baada ya kuachiwa toka Gerezani na kupata urais, aliamua kukaa karibu zaidi na wazungu na kusahau kabisa kwamba lengo la watu weusi kupinga utawala wa wazungu ni dhuluma ya kiuchumi kuliko madaraka ya kisiasa. Julius Malema aliona hilo ndio chanzo cha kuanzisha EFF.
3)Alijilimbikizia Mali nyingi yeye na ukoo wake ndani ya kipindi kifupi Sana alichokua madarakani
4) Maisha yake binafsi yaligubikwa na kashfa za kupenda kubadilisha wanawake.

Pamoja na mapungufu yote hayo, lakini Mandela anabaki kuwa miongoni mwa viongozi Bora kabisa duniani kwasababu mazuri yameyazidi mabaya yake kwa mbali Sana, vivyo hivyo Kwame Nkuruma wa Ghana.

Magufuli anayomapungufu yake, mengi ya yale unayoyataja hapa yanaukweli kabisa, ndio sababu huwa ninasoma posts zako na huwa ninacheka, lakini tukubali kwamba mazuri yake yamezidi mabaya yake kwabali Sana. Tukipanga Mambo aliyofanya kwa usahihi vs Yale aliyokosea utaona ukweli huu.
 
Hii ndo diplomasia sasa Ufaransa ni nchi ya kuiendea sana ni kama suala la EACOP limewaleta karibu! Na ni wazuri kwenye agroprocessing na utalii! nakumbuka Accor group (Novotel) walikuwa wana-run Mt Meru Hotel kabla ya kukarabatiwa !
Mkuu Hawa wafaransa ndio waliopata tenda ya kujenga zile rada 4, huu ni mwendelezo wa aliyoanzisha Magufuli.
 
Coverage rate hainamaana kwamba ambao hawajachanja wamegoma kaka, kumbuka kuchanja nchi nzima ni zoezi linaloweza kuchukua zaidi ya mwaka mmoja, hii inatokana na upatikanaji wa chanjo na mipango ya nchi husika.
Sasa naona unabisha tuu bila kujua unabishia nini.

Ni hivi, US chanjo zimeanza kutolewa toka mwaka jana na kila sehemu unaweza kuchanja bure. Walmart, Walgreens, CVS pharmacy, mashuleni na vituo vyote vya afya, hivi viko kila mahali na wanatoa huduma hiyo. Yaani ushindwe mwenyewe tuu. Sababu ya baadhi yetu kutochanja mpaka sasa ni kuwa hatutaki.
Sasa hivi duniani kote nchi zipo katika zoezi hilo la chanjo, viwanda vya kutengeneza hizi chanjo zilizokubalika havizidi 5 duniani kote, hivyo havina uwezo wa kutosheleza mahitaji ya dunia nzima ndani ya muda mfupi, hiyo ndio sababu kubwa ya kuona coverage rate bado ipo chini, kwa mfano Kenya ambako hawajagomea hiyo chanjo na wanahitaji Sana kuchanjwa lakini wsliochanjwa hawazidi 5M, Je unataka kutuaminisha kwamba wakenya wote wamegoma?
Sijui kwa nchi nyingine, ila kwa US hakuna uhaba wa chanjo.
Kuhusu Colombia au Dominica Republic, ulipaswa kujiuliza ni kwanini wamezuiliwa wakati nchi Kama Italy ambazo zilikumbwa na kuathiriwa zaidi na Corona duniani pamoja na USA wao waruhusiwe kuingia UK?
Wewe ndiye uliyeleta hoja ya chanjo kama kigezo cha Tanzania kukubaliwa, ndiyo maana nimekuonesha nchi ambazo zimechanja zaidi yetu na bado zimekataliwa. Sasa ni juu yako kutetea hoja yako.
 
Back
Top Bottom