Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeona alama za kuuliza ama hujaziona?
Nimeziona, kilicho nishangaza, ulijijibu mwenyewe kwa assumptions za hovyo.

Hii nshu za kujitia unajua kila kitu wewe na mpaka nini mwenzio anataka kusema as though we are telepathically connected, ungeacha. Itakusaidia sana.

Mimi mambo ya immunology and so forth, nasoma tu kwenye nyuzi na kwa sana. Huwezi nikuta nikiongelea kwakua sijui nae ongea nae ni nani, labda ni mtu aliye bobea kwenye taaluma hiyo.

Naishia kwenye maswali ba kusoma tu.
 
Wewe nawe ni mtu wa story za vijiweni. Ila nikushauri, achaa ujuaji usio na tija.

Nikuweke tu sawa:

1. Malema alianzisha EFF kwakua alitimuliwa ANC ambapo alikua akiongoza ligi ya vijana ya ANC baada ya bifu zito na Zuma waliyempigania kushinda uenyekiti wa ANC in Mangaung na baadaye kumrecall Mbeki kuachia Urais wa South Africa.

2. Mandela hakuwa na uwezo wowote wa kuwasaidia watu weusi kiuchumi kutokana na katiba waliokuwa nayo na misimamo ya chama cha ANC.

Kwa mfano, ndani ya South Africa, kuna eneo linaitwa 'Orania' hili eneo ni wazungu tu, na hawataki kuona mtu mweusi yoyete hata Polisi mweusi kuingia huko. Na pia, wana currency yao inaitwa 'Ora', ambayo, South African Reserve Bank (SARB) wamekataa kuiendorse, wana mfumo wao wa elimu tofauti na wa South Africa, wana Redio yao na Bendera yao pia.

Orania ni kanchi ndani ya nchi, why? Kwakua inatambuliwa kikatiba kama private area.

Maswala haya yameanzia kwenye negotiations in 1980s ambapo Tanzania chini ya Nyerere ndio walikua wakiwaamuru ANC negotiators nini kiwepo na nini kisiwepo.

Ninakuwekea clip ya video hapa, umsikie Rais Thabo Mbeki akilieleza kwa ufupi hili upangaji wa makubaliano ulivyoratibiwa na Tanzania ndani ya University of South Africa (UNISA).

Wacha maneno mengi, Malema alikua akipinga jinsi ANC kuanzia Mandela hadi Thabo Mbeki jinsi walivyokua wakiongoza nchi kwa kutowasaidia watu weusi tangu akiwa katika umoja wa vijana, alimpigania Zuma awe rais kwasababu Zuma alionekana kuwa karibu na weusi zaidi na kuhisi yeye angeweza kuwasaidia zaidi watu weusi, fujo zake hizo ndio zilizosababisha kufukuzwa toka ANC.

Hadi Leo msimamo wa Malema haujabadilika ndio sababu alianzisha chama cha Economic freedom Fighters (EFF). Sera yake ni kuhakikisha watu weusi wanakabidhiwa njia zote kuu za uchumi. Hayo maneno yako mengine ni blaah blaah tupu
 
Nimeziona, kilicho nishangaza, ulijijibu mwenyewe kwa assumptions za hovyo.

Hii nshu za kujitia unajua kila kitu wewe na mpaka nini mwenzio anataka kusema as though we are telepathically connected, ungeacha. Itakusaidia sana.

Mimi mambo ya immunology and so forth, nasoma tu kwenye nyuzi na kwa sana. Huwezi nikuta nikiongelea kwakua sijui nae ongea nae ni nani, labda ni mtu aliye bobea kwenye taaluma hiyo.

Naishia kwenye maswali ba kusoma tu.
Ulianza kwa kutumia neno "ACHA uongo", hiyo ndiyo iliyonifanya niseme punguzeni ujuaji.
 
Wacha maneno mengi, Malema alikua akipinga jinsi ANC kuanzia Mandela hadi Thabo Mbeki jinsi walivyokua wakiongoza nchi kwa kutowasaidia watu weusi tangu akiwa katika umoja wa vijana, alimpigania Zuma awe rais kwasababu Zuma alionekana kuwa karibu na weusi zaidi na kuhisi yeye angeweza kuwasaidia zaidi watu weusi, fujo zake hizo ndio zilizosababisha kufukuzwa toka ANC.

Hadi Leo msimamo wa Malema haujabadilika ndio sababu alianzisha chama cha Economic freedom Fighters (EFF). Sera yake ni kuhakikisha watu weusi wanakabidhiwa njia zote kuu za uchumi. Hayo maneno yako mengine ni blaah blaah tupu
Wewe ni mropokaji na kujitia mjuaji.

Humjui Malema.

Malema ni mtu mwenye kuchukia watu weupe na mabeberu, pia ni MTOVU wa Nidhamu.

Ndani ya ANC kuna magroup mawili yanayo support uchukuaji wa ardhi toka kwa watu weupe. Group la kina Zuma lenye ideology iliyosawa na kina Malema, na group la kina Mbeki hawa watu wa diplomasia.

Hakua na fujo, alikua ni mtovu wa nidhamu mkubwa sana na kufanya mambo mengi kitoto.

Ndio maana aliomba msamaha kwa Thabo Mbeki hadharani, na pia alienda kwa Mama yake Thabo Mbeki kuomba msamaha.

"Julius Malema on Tuesday apologised for maligning former presidents Thabo Mbeki and Nelson Mandela"

Huyo mtu alifeli shule sema ni mtu wa talalila ndefu na mtovu wa nidhamu, thanks alijua hilo na ulirudi shuleni.

Wewe utakua ulimjua late.

All in all, Mandela hakua na uwezo wakuwafanyia makubwa watu wa South Africa na hakua leader wa kihivyo.

Ni ANC waliamua kumbrand na kumarket Mandela - hili pia liliwekwa wazi na Thabo Mbeki alipoandika barua ya wazi kwa Zuma. Aliliweka bayana "Cult of Personality".

Ndio maana nakusihii acha ujuaji usio na tija. Mandela had nothing extraordinary.
 
Nyie kwenu kumejaa vipanya old fashion bchi nzima
Yani mikoa yote alafu sura mbaya kweli
Acha kujifanya unaijua tz wewe maandazi,tena kwa kuongea uongo, naakati hujawahi kufika.. chuma za tanga za tanga hizo 👇.. usafiri ndani ya mji
IMG_20210903_105501_610.jpg
IMG_20210903_105532_081.jpg
 
Hivi unajua huo mti wa Mpingo unachukua miaka mingapi kukomaa namna hiyo mpaka ukatwe kutengenezwa kinyago cha zawadi? Kuna umuhimu gani kuchonga kinyago tena kwa kutumia blackwood? Nadhani wewe ndo hujitambui!
Kwani madini unajua yanachukua mamilion mangap ya miaka kujitengeneza ? Wakati yanaibiwa ili libichwa lako lilikuwa wapi? Leo unajifany kuona udhamani wa blackhood...mnafki huwa akili hana
 
Mkuu tuanze kumchambua Nelson Mandela mapungufu yake
1)Alishindwa kabisa kuwasaidia watu weusi kiuchumi
2)Baada ya kuachiwa toka Gerezani na kupata urais, aliamua kukaa karibu zaidi na wazungu na kusahau kabisa kwamba lengo la watu weusi kupinga utawala wa wazungu ni dhuluma ya kiuchumi kuliko madaraka ya kisiasa. Julius Malema aliona hilo ndio chanzo cha kuanzisha EFF.
3)Alijilimbikizia Mali nyingi yeye na ukoo wake ndani ya kipindi kifupi Sana alichokua madarakani
4) Maisha yake binafsi yaligubikwa na kashfa za kupenda kubadilisha wanawake.

Pamoja na mapungufu yote hayo, lakini Mandela anabaki kuwa miongoni mwa viongozi Bora kabisa duniani kwasababu mazuri yameyazidi mabaya yake kwa mbali Sana, vivyo hivyo Kwame Nkuruma wa Ghana.

Magufuli anayomapungufu yake, mengi ya yale unayoyataja hapa yanaukweli kabisa, ndio sababu huwa ninasoma posts zako na huwa ninacheka, lakini tukubali kwamba mazuri yake yamezidi mabaya yake kwabali Sana. Tukipanga Mambo aliyofanya kwa usahihi vs Yale aliyokosea utaona ukweli huu.
Na akuna atakae pinga mapunguf ya JPM ...sababu pia alikue binadam kama wengine lakin haitakubalika kumdhalilidha kwa mapungufu wakati pia kafanya mengi bora kwa taifa ili...ni kweli hii ni nchi ya watu approcimatly 60 mil...huwezi kuendana na wote daima lazima kuna kundi utaliumiza tuu
 
Bro, mambo yote ya maendeleo yanayofanyika sasa ilishapangwa awamu ya tano. Mambo mapya ni pamoja na muvi ya utalii, kuajiriwa kwa Tony, kuondoa wamachinga na tozo. Unaweza kujionea utofauti wa kufikiri wa awamu hizi.
Mkuu kama kunakitu kimenifanya nione tumeuzwa ....nikuona tunamwajir Tony
 
Kwahiyo Kenya, Rwanda na Uganda ambako wamehamasishwa na kuhamasika kuchanja Nako pia sababu ya kuwa na "low covarege rate" ni kwamba hawataki?(wenyewe wanakusikiliza).

Huu upuuzi wa kupinga chanjo alianzisha Magufuli na sanasana ni hapa Tanzania, nchi zote zinazotuzunguka watu hawana tatizo na chanjo.

Katika Mambo yaliyoshusha heshima ya Magufuli duniani ni pamoja na hili la kupinga chanjo bila kufanya utafiti wa kisayansi, tusijaribu kuambuliza mapungufu yetu kwa watu wengine.
Apo mkuu usitake kulazimisha mambo yasio landana unawezaje kulinganisha nchi za Afrika na marekan kwenye swala la chanjo? Wakati kule zipo za kutosha km wahawajachanja ni sababu ya kutotaka uwezi linganisha na Afrika kamwe....alafu tusilazimishane kuchanja mnao ona inamana nendeni mkachanje .
Wakat unabishana apa nijibu kwanini visiwa vya shelisheli ambapo kwa Afrika ndio tunaweza sema wamechanjwa kwa asilimia kubwa, wamekufa sana kwa korona?
 
Back
Top Bottom