Africab Tower Kilwa Road. Dar kila kona inajengwa.Kwanza, povery rate kenya si 50% lakini wacha tupuuze hiyo,
population kenya ni 52 mil ambayo 50% ni 26 mil
Sasa bongo extreme poor people ni 28 mil bila kuhesabu wale wengine😁
Tafakari hayo, 😂😂😂
City without water ni kama msitu wa Wanyama.
Compare and Contrast.
Dar kama Dar
View attachment 1784714View attachment 1784715
Nairobi hamuifikii Zimbabwe. 🤣 🤣🤣 Umekosa picha za Nairobi unaanza kuiba za Harare.View attachment 1784740View attachment 1784742
Zimbabwe sio size yenu, dont get fooled by the media. I rather compare kenya to zimbabwe than poor tanzania.
Aafu mkuu Nairobi mpaka lini? Nlitaka tu combine picha 🤣🤣🤣🤣nashindwa kupost vizuri ila hapo ndo Nairobi cbd anayebisha aseme. bila usafiri apo hupiti 😂
TzKwanza, povery rate kenya si 50% lakini wacha tupuuze hiyo,
population kenya ni 52 mil ambayo 50% ni 26 mil
Sasa bongo extreme poor people ni 28 mil bila kuhesabu wale wengine
Tafakari hayo,
Najua mkuu we subir tupate mda na location 🤣🤣🤣iyo in nafuu kaka
usiwafanyie ivo wenzio..😂Aafu mkuu Nairobi mpaka lini? Nlitaka tu combine picha 🤣🤣🤣🤣
Low IQ like always, huu mjadala umeanza na best007 alipo tucompare na zim, little did he know zim is above lazyland. Next time usiingilie vita huvijui, utakufa bureNairobi hamuifikii Zimbabwe. 🤣 🤣🤣 Umekosa picha za Nairobi unaanza kuiba za Harare.
Haina noma kakangu Mie Nina Safari ya asubuhi kwenda kambi za wakimbizi Ila nkirudi ingekua poa kama tungeonana tukale kwa vibanda mutura na githeri pamoja na chapo😏usiwafanyie ivo wenzio..😂
sijajua ila ntaku pm kama bado ntakuepo kaka
Nairobi na kenya kwa ujumla ni kuchafu sana
😂😂 hakika kaka itabidi tulifanyie kazi ili swala.Haina noma kakangu Mie Nina Safari ya asubuhi kwenda kambi za wakimbizi Ila nkirudi ingekua poa kama tungeonana tukale kwa vibanda mutura na githeri pamoja na chapo😏
Hizi povu zote zimesababishwa na huu mwiba.Hehehehee utafanya akimbie tena humu
Nyie level zenu zimbabwe ,hapo ulipo unaombea TZ iwafutie work permit mkimbie umaskini uliojaa kunyaland
Ile sura yake ukiona utajua tu huyu anatamani afutiwe work permit atoke migori aingie bongoland
Sio mmoja mkuu,85% ya wakunya wanatamani sana kufanya kazi Tanzania ndio maana uhunye aliwaombea free work permit kiujanja ila bi mkubwa machale yakamchezaKuna mmoja anatamani sana kufanya kazi Tanzania ila analalamika "sasa hivi kupata work permit Tanzania ni ngumu"
Siunajua Sisi wabongo ndugu 🤣🤣🤣🤣😂😂 hakika kaka itabidi tulifanyie kazi ili swala.
Like I said earlier kenya poverty rate is 26% sio 50%Tz
Milioni 60-28 = 32
Kenya
Milioni 52-26 = 26
Kwahiyo Tz watu ambao co maskini ni milioni 32 wkt Kenya watu ambao co maskini ni milioni 26 tu.
Kwnn mnashindwa hesabu ndogo hivi?
Low IQ like always, huu mjadala umeanza na best007 alipo tucompare na zim, little did he know zim is above lazyland. Next time usiingilie vita huvijui, utakufa bure
Acha kuiba picha za harare dogo. Picha zenu za Kunyaland zimeisha!?Low IQ like always, huu mjadala umeanza na best007 alipo tucompare na zim, little did he know zim is above lazyland. Next time usiingilie vita huvijui, utakufa bure
Sababu employers kwenu wanataka wakenya specifically😁😆 kuna mbongo kule politics section alisema aliomba kazi hotelini akanyiwa lakini wakenya wanandikwa kila siku.Sio mmoja mkuu,85% ya wakunya wanatamani sana kufanya kazi Tanzania ndio maana uhunye aliwaombea free work permit kiujanja ila bi mkubwa machale yakamcheza
Wakenya ni cheap labor dunia nzima wanajulikanaSababu employers kwenu wanataka wakenya specifically😁😆 kuna mbongo kule politics section alisema aliomba kazi hotelini akanyiwa lakini wakenya wanandikwa kila siku.