President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,074
- 93,481
Yaani pesa za kupost kwenye mtandao.Hukuona juzi nilipost mihela hapa🤑💸
🤣🤣🤣.
Huna pesa wewe.
Yaani pesa za kupost kwenye mtandao.Hukuona juzi nilipost mihela hapa🤑💸
Mambo haya yanawafanya wakenya washinde Uhuru park wakiichafua Tanzania
View attachment 1784883View attachment 1784884View attachment 1784885View attachment 1784886
Venus StarView attachment 1777955
Namsubiri sana madha afanye yake nije kutengeza dooh uko bongo, nataka kufungua duka. Naskia mnapenda kushobokea sana wakenya.
Summarize your work, hii imetosha 😁 😁
Huna pesa Mzee
Umeishiwa picha za Nairobi. 🤣 🤣🤣 ngoja nikunyoosheSummarize your work, hii imetosha 😁 😁 View attachment 1784906
Naona unazunguka mahali pamoja tu, kulikoni tena 🤣 🤣 🤣 🤣Umeishiwa picha za Nairobi. 🤣 🤣🤣 ngoja nikunyooshe
View attachment 1784912View attachment 1784920View attachment 1784922View attachment 1784924View attachment 1784925
Dar ukubwa wake ni 1,590 km²Naona unazunguka mahali pamoja tu, kulikoni tena 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwahiyo statistics za credible sources huzitaki unataka zako au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji205][emoji90]Like I said earlier kenya poverty rate is 26% sio 50%
26% ya 52 mil ni 13 mil, watu inje ya poverty ni 39 mil
Bongo inje ya poverty ulivosema ni 32
Population yenu ni kubwa lakini tumewashinda in raw numbers, tafakari hayo
Mambo haya yanawafanya wakenya washinde Uhuru park wakiichafua Tanzania
View attachment 1784883View attachment 1784884View attachment 1784885View attachment 1784886
Wakenya wanakonda mno. Mambo haya yanawaogopesha. Usafi ndio kitu muhimu
Wakenya wachafu
View attachment 1784898View attachment 1784899View attachment 1784900View attachment 1784901View attachment 1784902
Umeishiwa picha za Nairobi. [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] ngoja nikunyooshe
View attachment 1784912View attachment 1784920View attachment 1784922View attachment 1784924View attachment 1784925
Sasa umeleta mwenyewe zen now hutaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji205][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji706][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji382][emoji375][emoji419]Umenikumbusha hesabu moja ya kukata na shoka aliypiga mwenzako Venus Star kwenye uzi fulani hapa. Yani you people are just cut from the same cloth. Kiukweli hivi ndivyo mnafundishwa?
picha ya kwanza ndio mazingira ya mamantilie, ipo karibu sana na ile mijengo yao ya minara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa nini kimetokea.
Siku moja kuna mkunya alimuuzi Tony254 basi tony akamwambia yule Mkunya kwamba Watz hawajui uozo mwingi wa hapa Kenya kwahiyo ukiendelea nitaweka uozo wote hapa, basi nilistuka sn yn kwamba haya madudu yote yanayopostiwa humu kuhusu Kenya kumbe ni cha mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]picha ya kwanza ndio mazingira ya mamantilie, ipo karibu sana na ile mijengo yao ya minara
picha ya pili ndio parking zao ivo.. wazee wa "ultra" [emoji23]
yaan ungekuepo uku kaka nadhan huu utashi wako wa picha[emoji23] pasingetosha apa nakwambia
Kwingine ni hivi😂😂😂😂Dar ukubwa wake ni 1,590 km²
Nairobi 696 km²
🤣 🤣🤣
Unahangaika sana MzeeKwingine ni hivi😂😂😂😂View attachment 1784955