komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Mtakatifu jiweNani anamuhakikishia nani?
Mtakatifu jiweNani anamuhakikishia nani?
Yani hadi Kakamega inajenga vitu Dar ilianza kuona two years ago! 😂 😂 Tukisema hatuko level moja nao hawasikii!Not impressed, Kakamega can do it betterView attachment 1711227
Wow! The area around Two Rivers will be a city on its own. A small upperhill is coming up thereCity inakuja hapo two rivers
View attachment 1711259
Huwa wanalazimisha their skewed perception ionekane kama ukweli, but facts zinawaumbua tuYani hadi Kakamega inajenga vitu Dar ilianza kuona two years ago! Tukisema hatuko level moja nao hawasikii!
We kw kupinga hujambohakuna mtu anayevimba kwa hiyo pesa
Ayayai. Hio booti ya black imenimaliza. Hivi viatu mbona msivilete Kenya. Ama mndhani hatuna uwezo wa kuvinunua?
Hawa huwa tunawafurahisha tu humu wasijione wapweke ila hata wao wanajua tumewaacha mbali sana.Huwa wanalazimisha their skewed perception ionekane kama ukweli, but facts zinawaumbua tu
Wakolayeah wakola kama weweWewe kijana kibera ujui lolote unakaa kibera unaongea kupitia stori za wakola wenzako
The difference is too obvious, no comparison, ni tuvitu tu chache zenye wamejenga zinawapea orgasm, ndio wanaona wamefika, EAC hapa hakuna any to level. Here is having fun and learning kiswahili., have picked many words., nime improve kiswahili sanaHawa huwa tunawafurahisha tu humu wasijione wapweke ila hata wao wanajua tumewaacha mbali sana.
Nipo na washikaji kutoka chad nao wanashangaa🙂Halafu huku Nairobi nimeona wasichana wengi kutoka Uganda wanakuja kufanya kazi za nyumbani. Yaani kuosha nyumba na kupika na kadhalika. Sijui kama umenotice hio trend?
I agree with you 🙂👇👇👇Nairobi looks good
Hamna tulikuwa tumeenda Kula sehemu moja hivi 🙂Hahaha kwa hivyo leo ulikuwa Tom Mboya avenue. Nilikuwa hapo Monday ila eneo lenyewe watu huwa busy hawana shughuli na mtu. Dar pia watu wako busy hivyo au huko mmetulia tu. Mnatembelea polepole na kusalimiana?
We Acha mkuu nlikuwa na Kaka mmoja tumeenda Kula ana roho ndogo Sana tuliairisha Kula ikabidi tuagize juice zetu🙂hao ndiyo wazee wa jiji kali...
Nilikuwa hapo na maboss wangu sijauliza ila jion Basi ambazo zilikuwa zinaondoka kuanzia kesho saa2 asb ndo zilikuw zinapaki huko na gari zinazofanyiwa servicePhase ii
Ndio mkuuhizi nguzo ni lile daraja ya kuingilia?