Anniversary Tower, Mhouse Bank Tower and Kemu Tower. All standing above 20 floors.
View attachment 1497724
Tangu Magu aingie madarakani,amewaumiza kwa mambo mengi,ila hili la SGR,litawaumiza sana kuliko Uganda pipe line.
anga la kenya likifunguliwa na hili shirika likiwa katika hekaheka za kuchukuliwa na serikali, inabid ATCL iruhusiwe kuingia kenya,
Ilazo..Barabara za mitaani Dodoma...Hii Dodoma inaenda kuwa ya moto sana...Wakenya wanakomaa na Nairobi wakati JPM ni nchi nzima
View attachment 1498484
the other side of dar es salaaam vs the other side of nairobi kindly compare and contrast..remember both ni nje ya cbd
Binafsi naamini kuna sabotage sehemu,inakuaje atcl iende,uganda,zambia,burundi,zimbabwe halafu ishindwe kwenda kenya tu hapo na rwanda,kuna kitu hapa kinaendelea magu inabidi aangalie kwa jicho la 3 kwenye hili
the other side of dar es salaaam vs the other side of nairobi kindly compare and contrast..remember both ni nje ya cbd
Mkuu KLM imeacha lini kuja Tz direct? Last time nakumbuka route yake ni Amsterdam-Kilimanjaro-Dar-Amsterdam.Sabotage ilianzia hapa hapa na Wabongo baada ya kuuwa Air Tanzania na kuanzisha Precision air, sasa njia ya Dar- Nairobi ni nzuri sana, na inatawaliwa na precision, Kenya Airways wameinunua/ubia na Precision na Kenya airways inashirikiana na KLM hivyo wageni wa KLM inayoishia Nairobi wanaletwa Dar na Precision/Kenya airways kama KLM yenyewe haiji Bongo moja kwa moja, hivyo ni ngumu sana AirTanzania kuchukuwa hiyo njia ni kama Dar- AK tu, naamini pia ni sabotage kwa maana SAA anakula nyomi la ukweli hivyo tulikuwa tunaenda kugawana abiria, ...
Mkuu KLM imeacha lini kuja Tz direct? Last time nakumbuka route yake ni Amsterdam-Kilimanjaro-Dar-Amsterdam.
Wacha upumbavu wewe KLM haipitii Kunyaland kuja Dar! Inapitia KIA au inakuja direct to JNIA! KQ walijaribu sana kuilazimisha KLM kuiachia route za EA, KLM ikakataa kutokana na vested interest to Tanzanian market.Haijaacha kuja nimeshindwa tu labda kuelezea vizuri, ina ruti nyingi (mbili) za kuja Tanzania, kuna inayokuja kupitia KIA -Dar na kuna inayokuja kupitia Kenya-Dar, sasa hiyo ya kupitia Kenya ikifika Kenya abiria wa Dar wanaletwa na precision/Kenya airways na siyo KLM wenyewe kwa maana KLM wana hisa Kenya Airways na Kenya Airways wamenunua/ubia na Precision, sijui kama nimeelezea vizuri lkn kifupi KLM ina njia mbili za kuja Dar, ya kipitia KIA na ya Kenya, ...