Ngoja niitafute.
Siku hiz CBD ni ubungo?
The area around Mombasa Rd is coming up really nice
Hiv hayo madaladala sijui matatu si muyatoe Nairobi?mnakuwa na local na bad public Transport yaani mnazidiwa na mwanza, Dodoma na mbeya ? Wana costerKm hzo ni standard kw tanzania...basi sawa ...na hizi za kibera tuziitejeView attachment 1209812
Wauza mihogo wataamia kawe beach nadhanHope kitatoka kitu cha maana, on April mambo yatakua bam bam
Uzuri Dar Beach ni nyingi, tutahamia Kawe beach, Mikadi, Kipepeo na zingine za Kigamboni....
Mwanzo wa kufufuka kwa Msasani Beach
Hii pia ni challenge kwa wenye Malls, coz siku za sikukuu siku hizi kunakua na nyomi sana za watu kwenye Malls za Dar kibaya ni kwamba Malls ziko chache af kingine we've no more open spaces for enjoyment
Mihogo ya Coco tutaipata wapi sijui
Then you'll hear some ni**ers saying Nairobi was built by wazungu 😂 😂
Can you name those minor changes? And by the way, wazungu hawakuwa Tanzania enzi hizo?The whites did a tremendous Job for Nairobi, I see some minor changes that has been done by Kenyans.
Umenikumbusha kuna time Watanzania walikuwa wakihesabu the number of footbridges in Dar. They couldn't even reach ten
Hizi vitu Nairobi ilianza kitambo kijana while Dar was still a small fishing villagekindly nionyeshe ushahidi kwamba hapo ilikuwa ni 1960! ukinionyesha natoka humu JF
NB: 1. sisi sio watoto wadogo
2. 1960 kulikuwa na camera ya kupiga picha yenye quality kama hio?
Can you name those minor changes? And by the way, wazungu hawakuwa Tanzania enzi hizo?
Nairobi ya zamani ilikuwa nzuri kuliko ya sasa...😂😂😂 Tunaludi kwenye real life👇👇👇Hizi vitu Nairobi ilianza kitambo kijana while Dar was still a small fishing village
View attachment 1210087View attachment 1210088View attachment 1210089View attachment 1210090