Hope kitatoka kitu cha maana, on April mambo yatakua bam bamhatupumziki yan.. bampa to bampa
Hapo kunajengwa bonge la Beaches mithili ya copacabana, nimeona features zake ni balaa, kutakuwa na waterparks kubwa za kutisha, restaurants, public showers, different sports complexes, parking za kutosha na facilities nyingivipi tena kuna marekebisho yanataka kuanza nini...
aiseee kutakuwa ni nomaahatupumziki yan.. bampa to bampa
dah hilo nalo neno ,mambo yadhatutupa mkono kwa kweliHope kitatoka kitu cha maana, on April mambo yatakua bam bam
Uzuri Dar Beach ni nyingi, tutahamia Kawe beach, Mikadi, Kipepeo na zingine za Kigamboni....
Mwanzo wa kufufuka kwa Msasani Beach
Hii pia ni challenge kwa wenye Malls, coz siku za sikukuu siku hizi kunakua na nyomi sana za watu kwenye Malls za Dar kibaya ni kwamba Malls ziko chache af kingine we've no more open spaces for enjoyment
Mihogo ya Coco tutaipata wapi sijui
Mchoro uko wapi?Hapo kunajengwa bonge la Beaches mithili ya copacabana, nimeona features zake ni balaa, kutakuwa na waterparks kubwa za kutisha, restaurants, public showers, different sports complexes, parking za kutosha na facilities nyingi
This thread started off very well until people set in emotions.......now its just heckling 24/7
Ipo kwenye pamphlet bado haijatengenezewa digital renderingMchoro uko wapi?
Yaani magreda yako site picha hata hawazitoi!Ipo kwenye pamphlet bado haijatengenezewa digital rendering
Hiyo bado ni kibera kijana. Najua unataka kuona vibanda kwa sababu vibanda vya kibera ndio kitu cha kipekee kutoka Nairobi mnaweza linganisha nayo Dar is slumHzo n apartment ila tofaut na hyo n vbanda vtupu na hata ukja dar utakutan na apartment uswaz ila cio vbanda
the funny thing is ive been to dar....enyewe these guys hawana aibu...i just read some comments ,sip my coffee and giggleHiyo bado ni kibera kijana. Najua unataka kuona vibanda kwa sababu vibanda vya kibera ndio kitu cha kipekee kutoka Nairobi mnaweza linganisha nayo Dar is slum
Huu Uzi ni mwiba, wakora walikimbia lakini nafsi zao zikawasutaKwamba huu uzi umetazamwa na watu milioni tano au???? View attachment 1209803