Huo uongo unamfaidisha nani haswa
Labda wakenya wenzako wakuamini, kutoka Manzese mpaka mjini kati ni approx. 7 Km halafu kwa usafiri huchukui si chini ya dakika 7 au 8 kufika mjini via best public transport in EA ( BRT )
Haya sasa tuambie with Nganya kutoka Kibera hadi CBD inachukua muda gani kufika?
Same to Tandale pia
We Wewe ni mpumbavu CBD ya Dar haipo Sam Nujoma road!
Iyo kubwa itafutie na lenzi Kama ya milioni mbili asee at nzi akipita manzese upo posta utamuona
We do have state lodges across the country but no state lodge is the same as IKULU. If the building will be turned into a state lodge, presidents will stay in it just a few times a year! utatoa hela wewe za maintenance mwaka mzima? Ijengwe state lodge sehemu nyingine Dar au Pwani ambayo ni safe zaidi na IKULU iwe kivutio na hivyo, litaumika kuingiza pesa, pia historia yake itatunzwa kwa sababu hata sasa hivi ni watanzania wachache sana ambao wanajua historia ya hilo jengo.Where do you expect president to sleep when he visits Dar? A country can not have one state House , that's a government property and it remains a landmark. Countries always have several mini state houses and state lodges.like Kenya we have mini state houses and state lodges in other cities and provinces.
Mbona wakenya wote wamenikatalia kutalii Kenya nimemuomba janerose kakataa kuwa mwenyeji wangu labda wewe ukikubali nitashukuru sana
Kwan kbera hko wapi
Slum za dar ni nzuri kuliko slums za nairobi yaani nyumba za dar zina standard nzur sio kama za nairobi ni very poor
Kibera to the location called cyber-CBD not to Nairobi Central Business District though
Ha ha ha ha usinywe sumu bado tunakuhitajiAchana na hawa vilaza wajitekenye. Wanadhani Nairobi ni uswazi kama Dar
vipi tena kuna marekebisho yanataka kuanza nini...
Haya sasa rudi tena Google Map tafuta distance kutoka Ubungo to CBD
Hzo n apartment ila tofaut na hyo n vbanda vtupu na hata ukja dar utakutan na apartment uswaz ila cio vbandaKm hzo ni standard kw tanzania...basi sawa ...na hizi za kibera tuziitejeView attachment 1209812
Tuma vbanda vyen vlvyopo pemben ya hyo apartment then ndo ulnganshe ya darKm hzo ni standard kw tanzania...basi sawa ...na hizi za kibera tuziitejeView attachment 1209812